-->

Picha: Shamsa Amwaga Lazi ukumbini

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford juzikati alitoa kali ya mwaka baada ya kutinga kwenye Ukumbi wa Sky nightlife uliopo Masaki akiwa ametinga kigauni kifupi ambacho kila alipoinama kwa kucheza alikuwa akimwaga lazi. Shamsa aliyekuwa kivutio ukumbini hapo alionekana kukongwa na nyimbo za msanii Belle 9 ambapo kila ulipopigwa wimbo aliinuka akiwa na glasi yake mkononi […]

Read More..

Haya Sasa, Johari Asaka Mchumba

Post Image

Msanii mwigizaji mkongwe wa bongo movie Johari Blandina Chagula amesema kwa sasa anatafuta kijana wa kuwa naye katika maisha. Msanii huyo ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano maalum na kipindi cha ENews kinachorushwa na kituo cha EATV. ‘Mimi kwa sasa nipo mwenyewe (Single) akitokea kijana mwenye malengo na mwenye dhamira ya kweli nipo tayari kuwa naye”Amesema […]

Read More..

Niva Atembelea Watoto Wenye Shida Katika Ki...

Post Image

MWIGIZAJI wa kiume wa filamu  Zuber Mohamed ‘Niva’ aka Super Mario leo hii mchana ametembelea kituo cha watoto wenye shida wanaoishi katika kituo cha Taifa kilichopo Kurasini katika Wilaya ya Temeke na kuweza kutoa zawadi kwa watoto hao ambao wapo pia watoto wenye matatizo mbalimbali na mtindio wa Ubongo. Niva akitoa msaada wa kwa mlezi […]

Read More..

Ray: Nilishawahi Kumuokoa Nay wa Mitego Asi...

Post Image

STAA wa Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara nyingine ameendelea kuteka ‘headlines’ baada ya kuibuka na kudai kuwa alishawahi kumuokoa staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego asipigwe. Akizungumza asubuhi hii katika kipindi cha Leo Tena kinachorusha na Clouds FM, Ray alisema kuwa alipokuwa katika shoo ya Fiesta Mwanza, Nay alivamiwa na kundi la […]

Read More..

Siri Nzima ya Weupe wa Ray Upo Ndani ya ‘...

Post Image

Kabla ya ya uvumi wa kudhulumiana kwa mwigizaji Batuli na Vicent Kigosi ‘Ray’, tayari mwigizaji huyo ameshazua tafrani katika mitandao ya kijamii baada ya kuulizwa swali lilotokana na waupe wake. Ilikuwa katika kipindi kinachorushwa Ea TV cha Nirvana, ndipo Ray alisema wala hatumii Mkorogo isipokuwa weupe wake unatokana na Utumiaji wa maji kwa wingi na […]

Read More..

Wema we Bado Mdogo Usizae – Mange Kimambi

Post Image

Blogger maarufu hapa nchini Mange Kimambi ametoa ushauri ambao mwenyewe ameuita wa bure kwa mwanadada mwenye jina lake hapa mjini Wema Sepetu, na kumtaka asizae kwa kulazimishwa na maneno ya watu, bali asubiri mpaka akiolewa. Mange ametoa ushauri huo kwenye ukurasa wake wa instagram baada ya seke seke lililomkuta mwanadada huyo la kushambuliwa na watu […]

Read More..

Lady Jaydee Avunja Ukimya

Post Image

Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee ametangaza rasmi kurudi tena kwenye muziki baada ya ukimya wa muda kidogo kwenye muziki. Lady Jaydee ameweka wazi ujio wake mpya kwenye muziki baada ya siku 30 kuanzia leo. Wiki kadhaa zilizopita Lady Jaydee aliwahi kuwaomba wapenzi wa muziki wake kuwa wavumilivu na kuwataka wasubiri kwani kwa kipindi […]

Read More..

Shilole Adaiwa Kumlewesha Dogo

Post Image

Baada ya msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, hivi karibuni Ijumaa lilinyetishiwa kuwa, amejiweka kwa dogo mmoja aliyefahamika kwa jina la Medy Music ambaye wamekuwa wakipika na kupakua kwenye nyumba ya staa huyo iliyopo Kijitonyama jijini Dar. Baada ya kunyetishiwa habari hizo, paparazi wetu juzikati jioni alitinga nyumbani […]

Read More..

Chuchu Afunguka Kuhusu Weupe wa Mpenzi Wake...

Post Image

Msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mpenzi wa Ray Kigosi amefunguka na kusema hapendi watu wanapokuwa wana msema mchumba wake Ray Kigosi kuwa amejichubua na kudai anaamua kupuuza ila huwa hapendezwi na suala hilo.   Chuchu Hans alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ jana na kudai kuwa mpenzi wake huyo kwa sasa amependeza kutokana […]

Read More..

Idris Ajipoza kwa Lulu

Post Image

Siku chache baada ya taarifa za kutoka kwa mimba ya mwandani wake, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa ‘Hotshot’ 2014, Idris Sultan amebambwa kiwanja akijipoza machungu na staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Amani limenasa tukio. Tukio hilo lililopigwa chabo na paparazi wetu lilijiri wikiendi iliyopita ndani ya […]

Read More..

Sijapenda ujauzito wa Wema Sepetu uharibike...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop Nay wa Mitego amesema hakupenda ujauzito wa Wema Sepetu uharibike kama baadhi ya mashabiki wa Wema Sepetu wanavyodai katika mitandao ya kijamii. Rapa huyo kupitia wimbo wake “Shika Adabu Yako’ alimchana Wema ‘una mimba kweli, au ndio kiki za msimu?. Miezi tisa sio mingi, isije ikakugharimu” kauli ambayo ilitafsiriwa […]

Read More..

Mwakifwamba : Sitowaangusha Wazee Wangu, Ag...

Post Image

MGOMBEA wa nafasi ya Urais wa shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amefunguka kwa kusema kuwa hatawaangusha wazee waliomwamini na kumuomba agombee tena uongozi TAFF baada ya kuwa na imani naye hivyo hata waangusha bali atafanya kazi kwa nguvu. “Ikumbukwe nilipanga mwaka huu kupumzika na kuangalia mambo ya kifamilia zaidi lakini wazee wangu ambo […]

Read More..

Hii ya Ray Kigosi kwangu ni mpya -Baraka Da...

Post Image

Msanii Baraka da Prince amejibu kauli ya Ray aliyoitoa hapo jana na kutoa siri ya yeye kubadilika rangi yake, na kusema kuwa anakunywa maji mengi na kufanya mazoezi sana. Akiongea na East Africa Television/ Radio, Baraka amesema kuwa kitu hicho ni mara ya kwanza kusikia maishani mwake, kwani hajawahi kusikia popote duniani. Ameanza kwa kucheka…..”hahahahahaaa, […]

Read More..

Wema Sepetu Alitamani Ajifungua Mtoto wa Ki...

Post Image

Usiku wa kuamkia leo, Idris Sultan ameandika waraka mrefu kuhusiana na ujauzito wa mpenzi wake, Wema Sepetu ambao kwa post ile amemaanisha haupo tena (umetoka), lakini siku chache zilizopita wakati akiwa na mimba alitamani sana ajifungue mtoto wa kiume kwa kuwa kwenye familia yao wamezaliwa wote wanawake. ”Yaani huwezi amini kabla sijashika mimba nilikuwa na […]

Read More..

Weupe Wangu ni Kwakuwa Nakunywa Maji Mengi ...

Post Image

Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie hapa nchini Ray Kigosi amesema kwamba yeye hajawahi kujichubua bali huwa anakunywa maji mengi pamoja na kufanya mazoezi . Ray ameyasema hayo wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha ENews kinachorushwa na EATV na kusema kwamba hua anakwenda salon mara moja kwa wiki kwa ajili ya kusafisha uso wake (Scrub) ili […]

Read More..

Niva Supermarioo Alamba Dili Nono

Post Image

Mwigizaji Niva Zubery wanamwita Niva  supermarioo Niva ameingia mkataba mpya na kampuni ya  Steps entertainment wa kuangusha filamu kali kwa mwaka huu. Huku akianza na filamu kali ya Kasanga nae Mwana akiwa na Gabo. Wakati huo kazi nyingine hiyooo ya KIZA akiwa na Riyama Ally na Grace Mapunda.

Read More..

Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Idris Awachanganya Team Wema

Post Image

Hali imeanza kuwa tofauti na ya huzuni kwa mashabiki wa Wema Sepetu baada ya Idris kupost ujumbe ambao unaonesha kuwa alikuwa anategemea kupata watoto mapacha lakini haijaweza kuwa hivyo kutokana na ujauzito huo kuharibika. Zikiwa zimepita wiki kadhaa toka taarifa rasmi za watu hao kutoka kimapenzi na kuonesha walikuwa wanategemea kupata mtoto baada ya Wema […]

Read More..