Bodi ya Filamu na Wadau wa Filamu Kuandaa S...
Katibu wa Bodi ya filamu Bi. Joyce Fissoo amezidi kuonyesha dhamira kuu kwa wadau wa filamu baada ya kupigania uharakishaji wa uandaaji wa Sera ya Filamu ili kuwajengea wadau hao thamani ya kazi yao huku ikiwapa kipaumbele kikubwa katika kuwashirikisha wawakilishi wa wadau wa Filamu na kutoa maoni yao kupelekea kujenga tasnia yenye nguvu. Kwa […]
Read More..





