-->

Daily Archives: June 5, 2016

Chuchu Hans Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans anadaiwa kunasa ujauzito wa mchumba wake ambaye naye ni staa wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’. Kwa mujibu wa chanzo ambacho kipo karibu na wawili hao, Chuchu kwa sasa ni mtu wa kujifungia ndani na amekuwa hapatikani kwenye matukio mbalimbali yanayomhusu. “Ameshanasa, tena ujauzito huo ni wa Ray, unaambiwa sasa […]

Read More..

Esha Alia Wivu kwa ‘Hausigeli’ Wake

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Esha Buheti ‘amelia’ wivu kwa mfanyakazi wake wa ndani (hausigeli) kuwa katika maisha yake ya ndoa hapendi kumwachia ampikie mumewe kwani siyo maadili. Akizungumza na Showbiz Xtra Esha alisema kuwa, hata mumewe akipikiwa na dada wa kazi huwa anajua kwani akikionja chakula tu lazima aulize mpishi ni nani kutokana kuwa […]

Read More..

Mau Fundi Ahamia ‘Stand Up Comedy’!

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Maulid Ali ‘Maufundi’ amesema kuwa kwa sasa katika kujiongezea kipato kwenye uigizaji anageukia uchekeshaji wa majukwaani (Stand up Comedy) ili kuepukana na hali ya soko la filamu ambalo limepoteza mwelekeo. “Waswahili husema ukicheka na Nyani utavuna mabua, sasa mimi sitaki kuvuna mabua ndio maana nakimbilia kwingine ambako wengi wanakuogopa […]

Read More..

Babu Tale Afungukia Swala la Wasanii wa ‘...

Post Image

Baada ya kambi ya WCB kuonekana wasanii wake wanapenda kutoka kimapenzi na wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, uongozi wa kambi hiyo umelizungumzia swala hilo. kizungumza na waandishi wa habari Alhamisi hii, Mmoja kati ya viongozi wa juu wa kambi hiyo, Babu Tale, amesema ni bahati kwa wasanii wake kupata wanawake waliowazidi umri. “Sisi tunameneji […]

Read More..

Wema Sepetu ni ‘Brand’ Lakini Haitumiki!

Post Image

NI mrefu, mwenye ngozi yenye rangi ya dhahabu. Ana macho meupe, pua fupi, midomo minene iliyofunika meno yaliyopangika vyema kinywani na kutengeneza mwanya mdogo wa kichokozi katikati. Sauti yake nyembamba ni kivutio kingine, shingo ndefu kama ya twiga ni kati ya sifa zinazomuacha kwenye orodha ya warembo wa Tanzania wenye mvuto kwa mwaka wa kumi […]

Read More..