Mpira Dakika 90 Unachosha- Wema Sepetu
Mrembo na staa wa filamu za Kitanzania, Wema Sepetu, amefunguka kuwa mchezo wa soka unamchosha kuangalia kwa kuwa unatumia muda mrefu wa dakika 90 huku wachezaji wake wakihangaika mno kutafuta bao tofauti na mpira wa kikapu. Wema Sepetu, alilidokeza Swaggaz, kuwa mara nyingi akiwa nyumbani kwake huwa anaangalia mpira wa kikapu kwani hauchoshi na wachezaji […]
Read More..