-->

Daily Archives: June 16, 2016

Filamu za Nje Zinatutia Njaa Jamani- Tino

Post Image

NYOTA wa filamu Hisany Muya ‘Tino’ anasema kuwa sinema kutoka nje zimeua soko la ndani na kuwafanya wasanii waishi kwa shida kwani hata watengeneze kazi zenye ubora wa namna gani bado wanashindwa kuuza kwa bei ya kimaslahi. “Serikali tunaomba itusaidie kwa hili sinema kutoka nje ni tatizo ndio zimeua soko letu, hazilipi ushuru zimezagaa kila […]

Read More..

NI NOMA : Lulu Anafikiria Kimataifa Zaidi

Post Image

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ mwigizaji wa kike mwenye nyota kali anasema kuwa hawezi kwa sasa kuonekana kwa kila filamu bila sababu kwani amejipanga kutafuta tuzo kubwa za kimataifa hivyo lazima ashiriki sinema bora ili kufikia malengo yake.   “Kuwa bora si kucheza sinema nyingi bali kuwa na sinema za maana, nimejipanga na nakuja na filamu yangu […]

Read More..

Picha: Muonekano Mpya wa Chid Benz

Post Image

Mkali wa Hip Hop hapa Bongo,  Chidi Benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya na hizi ni baadhi ya picha zake za hivi sasa ziklizoweka mtandaoni. NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA UNATAKA KUWA […]

Read More..

TCRA: Simu Feki Kuzimwa Leo

Post Image

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imesisitiza kuwa zoezi la uzimwaji simu feki unatekelezwa leo kama ilivyokuwa imepangwa. Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye makao makuu ya mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu, James Kilaba alisema kwa wale watakaofanya ujanja wa kubadilisha namba tambulishi (IMEA) watachezea kifungo cha miaka 10 jela au […]

Read More..

Baraka da Prince Afunguka Kuhusu Yeye na Li...

Post Image

Msanii Baraka da Prince amekanusha vikali kumshika msanii wa kike wa bongo fleva sehemu za kifuani, na kusema aliyepiga picha hiyo aliikuza. Akiongea kwenye eNews ya East Africa TV, Baraka amesema hajwahi kufanya kitendo kama hicho kwani walikuwa sehemu yenye watu wengi, na pia hajawahi kuwaza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Linah. “Siwezi kufanya […]

Read More..