-->

Daily Archives: June 21, 2016

Quick Rocka na Siri ya Kugandana na Kajala

Post Image

GEMU la Muziki wa Bongo Fleva lina vijana wengi wenye vipaji,  miongoni mwao ni Abbott Charles ‘Quick Rocka’ aliyeanza kusikika mwishoni mwa miaka ya 2000 akiwa na Kundi la The Rockers. Kundi hilo liliundwa na wasanii Mo Rocka, Chief Rocka na Dau Rocka waliotamba na ngoma ya The Rockers Antherm. Ungana naye katika Exclusive interview […]

Read More..

Hawa Wamebambwa Utamu!

Post Image

WAUMINI wa dini ya Kiislam duniani wapo katika mfungo wa Mwezi wa Ramadhani. Mfungo huo ni moja kati ya nguzo tano za dini ya Kiislam, ikiwa ni nguzo ya nne. Katika nguzo hii, waumini hujizuia kula na kunywa mchana kutwa, sambamba na kujipinda katika kutenda mambo mema na kuepuka maovu, huku pia wakiomba msamaha kwa […]

Read More..

Wema Afunguka Kuhusu Kurudiana na Diamond

Post Image

Vunja ukimya! Tetesi zinazogonga vichwa vya mashabiki wa mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimepata ufumbuzi baada ya mlimbwende huyo kuanika ukweli wa ‘ubuyu’ huo, Wikienda limefanya naye mahojiano maalum (exclusive interview) yaliyochukua dakika 45. KABLA YA MAHOJIANO Kabla ya Wema kufunguka mambo mazito juu ya Diamond, uchunguzi wa […]

Read More..

Zuu: Mimi mzuri zaidi ya Shilole

Post Image

Yule Video Vixen wa ngoma mpya ya Nuh Mziwanda ‘Jike Shupa’ ambaye anafahamika kwa jina la Zuu amefunguka na kusema kuwa yeye ni mrembo zaidi ya Shilole na amejaaliwa kuliko huyo Shilole. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV Zuu amedai kuwa yeye ni zaidi ya Shilole kwani yeye ni mweupe zaidi wakati […]

Read More..

Lulu Ajikita Chuo, Anasomea Kozi Hii

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Elizabeth Micheal ‘Lulu’ amerudi chuoni na kuamua kuchukua kozi ya Human Resource. Muigizaji huyo ameweka wazi anachosomea baada ya mashabiki katika mtandao wa Periscope, kutaka kujua anasomea nini baada ya kupost video mbalimbali katika mtandao huyo huku akizungumzia maswala ya chuo. “Jamani nimechoka kuulizwa nasomea nini, nasomea nini, nachukua Human Resource,” […]

Read More..