Quick Rocka na Siri ya Kugandana na Kajala
GEMU la Muziki wa Bongo Fleva lina vijana wengi wenye vipaji, miongoni mwao ni Abbott Charles ‘Quick Rocka’ aliyeanza kusikika mwishoni mwa miaka ya 2000 akiwa na Kundi la The Rockers. Kundi hilo liliundwa na wasanii Mo Rocka, Chief Rocka na Dau Rocka waliotamba na ngoma ya The Rockers Antherm. Ungana naye katika Exclusive interview […]
Read More..