Masanja Asakwa na Polisi Akiwa ‘HoneyMoon...
WAKATI dhamana ya waigizaji wa kundi la Orijino Komedi ikiwa wazi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumsaka bwana harusi, Emmanuel Mgaya, kwa mahojiano kama walivyofanya kwa wenzake. Hayo yameelezwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Hezron Gyimbi, jana baada ya kuwahoji waigizaji hao waliokuwa wakishikiliwa […]
Read More..