Kajala: Nataka Kuzaa Mtoto wa Kiume
“Nahitaji kuzaa mtoto wa kiume ili Pamela naye ajivunie kuwa na kaka, siku zote nilitamani nipate watoto wenye jinsia tofauti, tayari ninaye wa kike sasa ni zamu ya kumpata mwingine wa kiume.” Ni kauli ya Kajala Masanja mwanadada anayefanya vyema kwenye soko la filamu nchini. Kauli hiyo ya Kajala imekuja siku chache baada ya kuulizwa […]
Read More..