Mchungaji Alowa Maneno ya Mama Wema
Yule mchungaji aliyejitokeza hivi karibuni kumuombea muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu, Daudi Mashimo, amedaiwa kuvurumishiwa matusi na mama wa staa huyo, Mariam Sepetu alipokuwa akimpigia simu kumuombea. Kwa mujibu wa chanzo chetu, mchungaji huyo anayeongoza kondoo katika Huduma ya Injili ya Maumivu na Uponyaji iliyopo Mbezi-Msakuzi jijini Dar, anadaiwa kukutwa na dhahama hiyo […]
Read More..