Singeli Tuipe Nguvu Zaidi- Juma Nature
Msanii mkongwe wa bongo fleva Juma Kassim Nature amefunguka na kusema kuwa katika muziki Bongo ambao unaweza kupewa nafasi kubwa zaidi ni muziki wa singeli kwanza anasema ni muziki wenye asili yetu lakini pia ni muziki ambao tayari watu wanauelewa Juma Nature alisema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema […]
Read More..