Kupanda Kwa Miamala ya Simu, Kampuni Zadaiw...
Moja habari zilizoandikwa ni hii habari kwenye gazeti la Nipashe yenye kichwa cha habari ‘Miamala ya simu bei mpya balaa’ Wakati Serikali ikisema uanzishaji wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT), kwenye miamala ya simu na benki haitawahusu wateja, kampeni za simu zimepandisha mara dufu gharama za kutuma na kupokea fedha. Tofauti na benki ambazo zinatoa […]
Read More..