Exclusive Teaser: Filamu Mpya ya “The...
Watakushangaa sana pale utakapo zungumzia Tasnia ya filamu za Action Tanzania bila kumtaja Mwasisi wa Filamu hizo Jimmy Mponda maarufu kama J.Plus ambaye ndiye miliki wa ‘Mzimuni Theatre Arts’ aliyewahi kushikiria ubora wake miaka 5 kwa filamu yake ya “Misukosuko” yaani 2005-2010. Kwa madai yake J.Plus, amesema kuwa baada ya kufanya vizuri kwa muda mrefu […]
Read More..