-->

Monthly Archives: September 2017

Harmorapa Awananga Mzungu wa Harmonize, Wem...

Post Image

MSANII wa anayechipukia kwa kasi nchini kwenye miondoko ya Hip Hop, Harmorapa, amefunguka mengi juu ya mpenzi wa mwanamuziki mwenzake, Harmonize, anayefahamika kwa jina la Sarah na mpenzi wa zamani wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Madam Wema Sepetu, akisema wote ni mabibi yaani watu wenye umri mkubwa. Akizungumza kuhusu mpenzi huyo wa Harmonize, alifunguka kwamba: “Mimi […]

Read More..

Tunda Afunguka Kutoa Mimba

Post Image

Mlimbwende Tunda ambaye ni gumzo kwenye mitandao ya kijamii kutokana na urembo wake, amekana taarifa za kutoa ujauzito ambao alionekana nao, na kusema hakuwa na mimba na hajawahi kupata ujauzito maishani mwake. Akizungumza na mwandishi wa East africa Television Tunda ambaye pia ni ‘video vixen’, amesema tumbo alilonalo lilikuwa ni kitambi kilichoongezeka kutokana na kunenepa, […]

Read More..

Lady Jay Dee Shabiki Namba Moja wa Asley

Post Image

Dar es Salaam. Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee amekiri wazi kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Aslay na huwa anamsikiliza mara kwa mara. Komando Jide katika moja ya mahojiano na kituo cha habari anasema, Aslay ndio msanii anayemkosha kwa sasa sababu ana sauti nzuri ambayo huwezi kuisikia sehemu nyingine ila kwake. “Naupenda […]

Read More..

JB Awachana Wakina Gabo na Duma

Post Image

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen ‘JB amefunguka na kuwachana Gabo Zigamba pamoja na Duma kwamba njia pekee ya kufahamika ni kupitia kazi zao wanazozifanya na wala siyo masuala ya ugomvi baina yao. JB amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV, baada ya msanii Duma kutoa kauli yake iliyokuwa inamponda Gabo siku za hivi karibuni […]

Read More..

Nay wa Mitego: Dimpoz Angenigusa Mimi Pasin...

Post Image

RAPA mahiri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amesema endapo kitendo alichokifanya Ommy Dimpoz cha kuweka picha ya mzazi wa Diamond Platnumz kwenye Instagram yake, angefanyiwa yeye basi pangechimbika. Mitego anayefanya poa na wimbo wake mpya, ‘Makuzi’ ameliambia ShowBiz kuwa anampenda sana mama yake mzazi hivyo adui anaweza kumtukana yeye au […]

Read More..

Hamisa Mobetto na 40 ya Mwanaye

Post Image

LICHA ya kuendelea kuwaficha mashabiki baba halisi wa mtoto wake wa pili aliyemtaja kwa majina ya Abdul Nasibu, mwanamitindo, Hamisa Mobetto ameanza kufanya maandalizi ya kusherehekea siku 40 za mwanaye huyo kuzaliwa ambaye mpaka sasa hakuna aliyebahatika kuiona sura zaidi ya ndugu zake wa karibu. Katika ukurasa wa Instagram wiki hii, Mobetto amekuwa akiyanadi mavazi […]

Read More..

Chuchu Hans: Naanza Kumwandaa Jaden Kuwa St...

Post Image

STAA wa Filamu za Bongo, Chuchu Hans, amesema kuwa atafanya kazi kwa bidii kuhakikisha anamwandaa mtoto wake wa kiume kuwa staa wa baadaye. Msanii huyo pamoja na Vicent Kigosi ‘Ray’ walifanikiwa kupata mtoto wa kiume mapema mwaka huu, ambaye amepewa jina la Jaden. Akizungumza na MTANZANIA jana, Chuchu alisema Jaden si wa kwanza, hivyo ili […]

Read More..

Masogange: Natamani Kuwa Mchungaji

Post Image

UKITAJIWA jina la Agness Jerald na kuambiwa ni muuza nyago kwenye video za Kibongo kidogo unaweza kubishana na mimi lakini ukitajiwa jina la Masogange bila hata kubisha utaanza kuorodhesha video zake alizoshiriki ikiwemo Masogange ya Belle9 pamoja na Msambinungwa ya Tundaman akiwa na Alikiba.   Masogange ni mmoja wa modo wasiokauka kwenye midomo ya wanaburudani […]

Read More..

Asikuambie mtu, ndoa tamu jamani-Meya

Post Image

MWIGIZAJI na mchekeshaji wa Filamu Bongo, Meya Shaabani amesema kabla ya kuingia katika ndoa aliichukulia poa, lakini kwa sasa anaona utamu wake na kumfanya afurahie maisha. Meya alisema maisha anayoishi kwa sasa ni ya furaha na amani tofauti na enzi za uselana hiyo imetokana na kuoa mke anayefanana naye na kupendana kila siku upendo ukitawala […]

Read More..

Wolper Afunguka Kama Akitendwa na Mpenzi Wa...

Post Image

Muigizaji wa filamu na Mfanyabiashara, Jacquline Wolper amefunguka na kusema iwapo mpenzi wake wa sasa (Brown) akimtenda na kumuumiza kama waliopita ataamini kuwa hakuna wa kumwamini kwenye mapenzi na kwamba wanaume wote wana matendo ya kufanana. Akizungumza na Mwandishi wa EATV, Wolper ambaye miezi michache alitangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake (Msanii wa muziki) ma […]

Read More..

Duma vs Gabo Moshi Unafuka!

Post Image

Upande wa Bongo Movie nako kunazidi kuwaka moto ambapo safari hii tena hali inazidi kuwa ya balaa juu ya uwepo wa bifu wa Mwigizaji aliyetamba na tamthiliya ya Siri ya Mtungi, Daudi Michael “Duma” pamoja na Gabo Zigamba. Kwa mujibu wa Duma anasema, Katika watu wa kwanza wanaoongoza kuharibu sanaa ya Bongo Movie ni Gabo […]

Read More..

Dimpoz Mikononi Mwa Polisi Dar Masaa Matano

Post Image

STAAA wa Bongo Fleva nchini, Ommy Nyembo aka ‘Dimpoz’, ambaye anatamba na kibao chake cha ‘Cheche, jana alikuwa kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam kunako saa tano asubuhi akiwa amesindikizwa na watu wengine wawili. Alipohojiwa na mtandao huu baada ya kutoka kituoni hapo, Dimpoz alisema: “Niliitwa kwa ajili ya mahojiano lakini mambo mengine yapo […]

Read More..

Hakimiliki Itawanufaisha Wasanii, Mapato ya...

Post Image

Ili kukidhi mahitaji ya kila siku, jitihada zinahitajika. Kila mtu anayo namna yake halali ya kumuingizia kipato. Katika harakati hizo wapo wasanii wa uigizaji, muziki au uimbaji, uchoraji, uandishi, utunzi na ubunifu tofauti. Hakimiliki ni sheria ambayo inampa msanii haki ya kumiliki kitu alichotengeneza au kubuni. Kinaweza kuwa kwenye mfumo au muonekano wa mchoro, picha, […]

Read More..

Wema Sepetu na Idris Kazi Bado Ipo

Post Image

INSTAGRAM siku hizi ndo imekuwa sehemu ya watu wengi maarufu kutolea mapovu yao mengi pengine inaweza ikawa sababu ya umaarufu wa mtandao huo na uwepo wa watu wengi wanaotumia pia. Majuzi kolabo hatari ambalo liliingia doa mapema, kati ya Idris Sultan na Wema Sepetu lilianza kuonekana tena kuanza kurudi rudi baada ya wote kwa pamoja […]

Read More..

Irene Paul: Sikuingia Kwenye Ndoa Kama Fash...

Post Image

UKITAJA waigizaji wanaojua nini wanapaswa kufanya mbele ya kamera na kuzitendea haki nafasi anazopewa kuigiza, basi huwezi kumuweka kando mwanadada Irene Paul, ambaye amecheza filamu nyingi, lakini msanii huyu alipotea kidogo baada ya kushika ujauzito ambao Mwenyezi Mungu amembariki na sasa ana mtoto wa kike, aliyempa jina la Wendo.   Staa huyo amecheza filamu kama […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Bado Ngumu

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi wa kupokea ama kutopokea kielelezo cha hati ya ukamataji nyumbani kwa Wema Sepetu ifikapo Oktoba 4, 2017. Hatua hiyo inatokana na kuwasilishwa kwa pingamizi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kutoka kwa wakili wa utetezi , Peter Kibatala, kwamba kielelezo hicho kina […]

Read More..

Gabo Afunguka Kuhusu Bifu

Post Image

MKALI wa Filamu za Bongo, Gabo Zigamba, amesema wasanii kuendekeza bifu ni dalili za kujimaliza kabisa na kukosa ubunifu kwenye kazi zao. Hivi karibuni msanii huyo amejikuta katika ugomvi na msanii mwenzake, Daudi Michael maarufu kama Duma kutokana na kila mmoja kumlalamikia mwenzie kushindwa kuitendea haki tasnia hiyo. Gabo amesema kuendelea kuzozana na Duma ni […]

Read More..

Irene Utamu Mwanzo Mwisho

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Irene Uwoya ametamba kuwa, kipaji alichonacho ni cha kipekee kwani licha ya kuwa zilipendwa, lakini bado hachuji akiendelea kukamua kana kwamba kaianza fani juzi tu. Irene alisema kuthibitisha kuwa kipaji chake ni cha pekee ni jinsi alivyoingia kwenye fani na kunyakua tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike Chipukizi mwaka 2008 ya […]

Read More..