-->

Daily Archives: October 5, 2017

Diamond Kupandishwa Kizimbani Kisa Matunzo ...

Post Image

Mwanamuziki Diamond Platnumz amepelekewa wito wa kuitwa Mahakama ya Watoto na mzazi mwenzake, Hamisa Mobetto kwa madai ya kushindwa kumuomba radhi na kutoa matunzo ya mtoto. Wito huo wa Diamond umewasilishwa na mawakili wa Mabetto, Abdullah Zulu na Walter Godluck kutoka Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys. Katika wito huo Diamond Platnumz anadaiwa kumdhalilisha na […]

Read More..