Nay wa Mitego Atabiri Kifo cha Bongo Fleva
Msanii Nay wa Mitego amefunguka na kusema kuwa ndani ya miaka miwili au mitatu inayokuja anaona wazi muziki wa bongo fleva unakwenda kufa kama ambavyo tasnia ya filamu bongo ilivyokufa kwa kile anachodai wasanii wamekuwa wazembe na kutegemea kiki. Nay wa Mitego amesema kuwa wasanii wengi wa bongo saizi wanategemea zaidi kiki kuliko kufanya muziki […]
Read More..