Calisah Afunguka Kuvaa Viatu Vya Kike
BAADA ya kusambaa kwa picha za mwanamitindo Calisah Abdulhameed, akiwa amevaa viatu vya kike (High Heels), modo huyo amefunguka kuwa licha ya kitendo hicho kupokewa na jamii kwa mitazamo tofauti malengo ya kutangaza bidhaa hiyo yametimia. Akizungumza na MTANZANIA, Calisah alisema kwa mara ya kwanza alipopigiwa simu na jamaa anayeitwa Frank Knows anayewavalisha viatu mastaa […]
Read More..