Wastara Afungukia Ishu ya Kufumaniwa (Video...
Msanii wa filamu Bongo, Wastara ameelezea kisa kizima cha video aliyosambaa katika mitandao ambayo imekuwa ikidaiwa kuwa msanii huyo alifumaniwa.
Read More..Msanii wa filamu Bongo, Wastara ameelezea kisa kizima cha video aliyosambaa katika mitandao ambayo imekuwa ikidaiwa kuwa msanii huyo alifumaniwa.
Read More..Zaidi ya watu 50 wameuawa huku takriban watu 200 wakijeruhiwa katika tukio la ufyatulianaji risasi kwenye tamasha mjini Las Vegas. Mtu mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 64 akiwa amejihami kwa bunduki na mkazi wa Stephen Paddock, alifyatua risasi kutoka ghorofa ya 32 ya hoteli ya Mandalay Bay akielekeza mtutu kwenye ukumbi wa wazi […]
Read More..MSANII wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz, anayetamba na wimbo wake mpya wa Cheche amefunguka juu ya sakata lake na Baraka Da Prince, kuwa sababu ya msanii huyo (Da Prince) kutoka katika Label ya RockStar400 ni kutokana na Ommy Dimpoz kujiunga na Label hiyo. Ommy Dimpoz amsema si kweli kwamba yeye kuingia RockStar4000 ndiyo sababu ya […]
Read More..DIAMOND Platnumz bado moto. Anaendelea kutengeneza headline kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya Bongo. Magazeti, redio, televisheni na hata mitandao ya kijamii havina uwezo wa kumkwepa. Anaandikika. Wakati juzi usiku akidondosha singo yake mpya inayokwenda kwa jina la Hallelujah ambayo amefanya kolabo na Morgan Heritage, kundi la Wajamaika walioshinda Tuzo ya […]
Read More..