-->

Daily Archives: October 22, 2017

Shamsa Ford Amtia Moyo Lulu

Post Image

ALHAMISI wiki hii kesi inayomkabili staa wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anayedaiwa kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, Aprili mwaka 2012, ilianza kusikilizwa tena kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam huku mashahidi mbalimbali wakitoa ushahidi wao.     Moja ya mastaa waliomtia moyo, Lulu ni Shamsa Ford ambaye alimtaka mrembo […]

Read More..