-->

Daily Archives: October 6, 2017

Kesi ya Wema Ngoma Bado

Post Image

KESI inayomkabili, Wema Sepetu bado mbichi. Hii ni baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Jumatano kukwama kutoa uamuzi wa kupokea au kutopokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali, nyumbani kwa Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006. Hatua hiyo imetokana na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, kutomaliza kuandaa uamuzi, hivyo kuahirisha kesi hiyo hadi […]

Read More..