-->

Daily Archives: October 25, 2017

Lulu Atimua Mbio Mahakamani, Baba Yake Atoa...

Post Image

MUIGIZAJI wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ametimua mbio katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda Maalum ya Dar es Salaam alipokuwa amekwenda kwa ajili ya kusikiliza muendelezo wa kesi yake ya kuuwa bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Charles Kanumba. Lulu aliwakimbia waandishi wa habari waliokuwepo mahakamani hapo huku baba ake mzazi aliwazuia waandishi wa habari kumpiga picha Lulu. […]

Read More..