-->

Hamisa Mobetto Apachikwa Majina Haya Mtanda...

Post Image

Mwanamitindo Hamisa Mobetto amesema hana tatizo na majina aliyopewa Instagram na mashabiki wanaomchukia kwani hayampunguzii uhai wa kuishi zaidi ya kumpa kiki na kuweza kufanya biashara zake na mambo yake yenye maana kwa kiki wanazompa. Hamisa katika mtandao wa Instagran kuna mashabiki ambao wameunda team na kumpa majina ya maudhi ilimradi kumdhalilisha au kumchukiza. Majina […]

Read More..

VideoMPYA: Country Boy na Moni wametuletea ...

Post Image

Karibu Bongoflevani…. karibu kuitazama nyingine mpya kutoka kwenye umoja wa MoCo unaoundwa na Moni Centrozone na Country Boy…. CHEKI FULL VIDEO: HARUSI YA SHILOLE

Read More..

Baiskeli yenye kujiendesha yenyewe imetenge...

Post Image

Baiskeli mpya ya kisasa,imetengenezwa na GOOGLE. Ina uwezo wa kwenda yenyewe(self-driving bike)…ukitaka inakufata popote ulipo….unaweza ukafanya kazi ukiwa katika baiskeli hii…ni salama hata kwa watoto na wasiojua kuendesha…hii ndio teknolojia!!!   Click PLAY kutazama video yenye kuonyesha technologia hii

Read More..

Wanigeria wamvimbia Diamond Platnumz kisa t...

Post Image

Baada ya msanii wa muziki Diamond Platnumz kutoka Tanzania, kuibuka msindi wa tuzo ya muziki ya Soundcity MVP Awards 2017, kupitia kupengere cha ‘Best Male MVP’ wadau na mashabiki wa muziki nchini Nigeria wameonyesha kutofurahishwa na ushindi huo. Katika kipengere hicho alichoshinda Diamond, alikuwa akichuana na wasanii kama Runtown, Davido, Olamide, 2face Idibia, Wizkid, Shatta […]

Read More..

Mchekeshaji “Teacher Wanjiku” a...

Post Image

Mchekeshaji “Teacher Wanjiku” amewavunja mbavu watazamaji kwenye kipindi  cha luninga cha Churchill na kusema kuwa alimkatalia mumewe kurudi saloon baada ya kunyolewa nywele siku mbili tu na kutaka tena kurudi. Inaonyesha mumewe alipenda huduma nzuri iliyotolewa na dada wa Saloon hivyo akataka akanyolewe tena ingawaje alikuwa amenyolewe siku mbili zilizopita. Pia aliwaacha watu wakicheka akisema […]

Read More..

“Lau Nafasi” ni VideoMpya kutok...

Post Image

Video Mpya ya 2018 kutoka kwa mkali wa Kisingeli Man Fongo ambaye leo January 13, 2018 kaamua kuachia video yake mpya ijulikanayo kwa jina la “Lau Nafasi” .Bofya hapa chini kuitazama vidoe yake. Una comments zozote kama mshabiki wake? Uwanja ni wa kwako.

Read More..

Baada ya siku 61 za Lulu gerezani Idriss Su...

Post Image

Kupitia instagram page ya Idris Sultan ameandika ujumbe ambao umewakumbusha wengi tukio la Elizabeth Michael “Lulu” kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake marehemu Steven Kanumba. Idris Sultan na Elizabeth Michael wamefanya kazi pamoja katika tamthilia ya SARAFU na moja kati ya kipande katika tamthilia […]

Read More..

Muna Afunguka Kuhusu Tatoo Yake na Ulokole

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’ amefunguka kuwa, watu wengi wanamsema vibaya kutokana na ‘tatuu’ zake alizozichora mwilini kuwa haziendani na ulokole, jambo ambalo linamshangaza sana. Akizungumza na Risasi Jumamosi Muna alisema, siku zote mtu anapoamua kurudi kwa muumba wake haangalii makosa ambayo ameyatenda nyuma, anachofanya ni kumpokea na kumsamehe kila kitu. “Sidhani kama […]

Read More..

Aika na Nahreel Waachia Sura ya Mtoto Wao

Post Image

Baada ya Familia ya Noel Mkono maarufu kama Aika na Nahreel kubahatika kupata mtoto mwishoni mwa mwaka jana hawakuwahi kupost picha yoyote ya mtoto wao inayoonesha sura yake mpaka siku ya leo January 12, 2018 ambapo kupitia ukurasa wa Instagram wa Nahreel na Navykenzo wameweka picha ya mtoto wao na kuonesha Sura yake. Mtoto wa […]

Read More..

Wema Sepetu Akana Penzi la Mahombi Asema ni...

Post Image

STAA mwenye nyota kali Bongo, Wema Sepetu amefungukia madai ya kubanjuka kimapenzi na mwanamuziki mwenye asili ya Congo, Mohombi Nzasi Moupondo na kusema kuwa ni shemeji yake na si vinginevyo. Akizungumza na Risasi Jumamosi Wema alisema kuwa, watu waache kutabiri vitu bila kujua ukweli wenyewe, kwani alipiga picha na mwanamuziki huyo kama shemeji yake kwa […]

Read More..

Harmorapa Hajapokea Pesa Yoyote Katika Dili...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava, Harmorapa amedai kuwa hajapokea pesa yoyote katika dili la kinywaji cha Swala tokea alipotangazwa Machi 26 mwaka 2017 kuwa balozi wa kinywaji hicho. Akiongea na Bongo5, mkali huyo ameeleza kuwa hata yeye amesikia tetesi tu kuwa alilipwa milioni 100 licha ya kuwa hajapokea pesa hizo. “Kwanza nizungumzia Kenya au sio, kwanza […]

Read More..

Lava Lava: Nipo Single Mwanamke Mzuri Ajito...

Post Image

Msanii kutokea kundi la WCB Lavalava  alipoulizwa kama ana mpenzi na kwa nini hajawahi kumuweka hadharani haya yalikuwa majibu yake, “hilo swali ninaulizwa mara sabini na watu jamani kama kuna mwanamke mzuri ananiona aje mimi nipo single sina wakumtangaza” Pamoja na hayo amezungumzia masuala ya upendeleo yanayodaiwa kuwepo katika record label ya WCB ambapo majibu […]

Read More..

Joh Makini Afungukia Ishu Yake na Mimi Mars

Post Image

RAPA anayetamba na ngoma ya Mipaka, Joh Makini amepangua tetesi zilizosambaa katika mitandao mbalimbali zikimuhusisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mdogo wa Vanessa Mdee, Mimi Mars.   Joh Makini amesema anashangaa taarifa hizo na kufafanua hakuna ukweli wowote kwa sababu Mimi Mars kwake ni sawa na mdogo wake. “A Big No, Mimi Mars ni […]

Read More..

Wakili Kibatala ajitoa kesi ya Wema Sepetu,...

Post Image

Kesi inayomkabili Muigizaji wa filamu Bongo, Wema Sepetu, imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatano kuendelea mpaka tarehe 8, Februali mwaka huu. Katika kesi hiyo iliyokuwa inaendelea katika Mahakama hiyo. Mahakama imepokea barua mbili kutoka Wakili wa Malkia huyo, Peter Kibatala barua ya kujitoa kuwa Wakili wa Wema na nyingine kutoka kwa Wakili […]

Read More..

Idris Sultan Ana Utani na Jack Wolper!

Post Image

IDRIS Sultan muigizaji wa filamu na mchekeshaji mahiri katika masuala ya komedi ametoa kali ya mwaka pale alipojaribu kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya akimzodoa muigizaji mwenzake katika tasnia ya filamu swahilihood Jack Wolper kwa kumwambia kuwa msanii huyo wa kike kwa mwaka huu amefunga mwaka kwa kutendwa na wanaume. “Kiukweli inatia huruma sana ninapokutana […]

Read More..

Joh Makini Afunguka Uhusiano Wake wa Kimape...

Post Image

Mwamba wa Kaskazini anayesumbua masikio ya wapenda burudani na ngoma ya ‘Mipaka’ Joh Makini amepangua tetesi za kujihusisha kimapenzi na mwanamuziki Mimi Mars ambaye pia ni mdogo wake msanii Vanesa Mdee. Joh Makini amepangua tetesi hizo kwenye Friday Night Live ya EATV ambapo amesema kwamba tetesi hizo hazina ukweli wowote na kwamba yeye anamchukulia Mimi Mars […]

Read More..

Mtwara Wakesha Wakinywa Uji kwa Kutekeleza ...

Post Image

Katika hali isiyo ya kawaida, baadhi ya wakazi wa maeneo mbalimbali mkoani Mtwara na maeneo mengine ya mikoa ya jirani wamejikuta wakikesha nje ya nyumba zao usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2018, wakipika na kunywa uji utokanao na unga wa muhogo. Wakazi hao wamedai kuwa wanatekeleza agizo la mtoto mdogo aliyezaliwa katika kijiji cha […]

Read More..

Nisha: Sina Mpango wa Kuzaa kwa Sasa

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’, amefunguka kuwa kwa sasa hana mpango wa kuzaa tena kwa sababu ya kumpa malezi bora mwanaye aliyenaye. Full Shangwe ilizungumza na Nisha ambaye alikuwa kwenye harakati za kumpeleka mtoto wake wa kike shuleni na kusema; “Sijafikiria kuzaa mtoto mwingine kwa sasa, acha kwanza mwanangu nimpe malezi bora, […]

Read More..