-->

Dancer WCB mwenye miaka 19 ameeleza jinsi a...

Post Image

Angel Nyigu ni Dancer wa msanii Queen Darleen ambaye yupo kwenye Record Label ya WCB ana umri wa miaka 19 ameelezea jinsi alivyopata nafasi ya kuingia WCB na jinsi alivyoanza kuwa Dancer na matamasha makubwa aliyowahi kupanda stejini na kuonesha uwezo wake.

Read More..

Zari amuuliza Diamond “Madale state lodge...

Post Image

Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekena Tunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao. Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kuamua kuandika […]

Read More..

Penzi Motomoto la Dulla Makabila na Sajent ...

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ ambaye alikuwa kwenye mapenzi motomoto na msanii wa singeli Dulla Makabila, uhusiano wao unadaiwa kuvunjika kutokana na kutofautiana kwenye baadhi ya mambo. Kwa mujibu wa chanzo chetu, wawili hao sasa si wapenzi wameshatemana ila wamekuwa wakifanya siri jambo hilo, kukwepa aibu kwa jinsi walivyokuwa wameshibana, ambapo Sajent alipotafutwa […]

Read More..

VIDEO: Ronaldinho ametangaza kustaafu, jiku...

Post Image

soka wa kimataifa wa Brazil Ronaldinho Gaucho leo ametangaza rasmi kustaa kucheza soka la ushindani baada ya kudumu katika soka la ushindani kwa zaidi ya miaka 15, Ronaldinho amefikia maamuzi hayo baada ya kucheza soka kwa muda mrefu na sasa anaamini inatosha. Ronaldinho hadi anatangaza kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 37, amecheza […]

Read More..

Moni Amfungukia Roma

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Moni Centrozone amedai kwamba Roma Mkatoliki hana mchango wowote katika maisha yake ya muziki kama watu wanavyofikiria. Rapa huyo kutoka Dodoma, amesema kwamba hawezi kumzungumzia Roma kwa jinsi yoyote kwenye sanaa yake na hata kolabo watu wanayofikiria kuwa ilimpa msaada wa kumtambulisha wanakosea kwani haijam[patia lolote zaidi ya dhahama. […]

Read More..

Shilole Atoa ya Moyoni..

Post Image

MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohammed maarufu kwa jina la Shilole ametoa kauli ngumu wakati wa sherehe yake iliyofanyika usiku wa kuamkia jana Jumatatu, akisema watu wengi walikuwa wakidhani kwamba hamaanishi kuhusu kufunga ndoa na mpenzi wake Uchebe na kuwataka sasa waamini uamuzi wake huo. “Namshukuru Mungu nimepata mume anayeijua dini, amenifichia aibu yangu. […]

Read More..

Shilole Achoshwa na Wanaomdhalilisha Mitand...

Post Image

Msanii wa muziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka na kusema kuwa amechoshwa na mtu ambaye anajiita na kutumia jina la mume wake Uchebe na kumchafua kwenye mitandao ya kijamii kwa kuweka posti za kumdhalilisha mumewe. Shilole amesema hayo kupitia mtandao wake wa Instgram na kudai kuwa Uchebe feki huyo amekuwa akiharibu muonekane wa mume […]

Read More..

Wolper Afunguka Pesa itayogharimu Harusi ya...

Post Image

Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa mahali. Wolper amedai kuwa ndoa hiyo inatarajia kugharimu kiasi cha shilingi milioni 60 za kitanzania, ikiwa milioni 50 kutumika kwa ajili ya harusi itayofanyika Dar huku milioni 10 kutumika harusi […]

Read More..

“Usimkataze msanii kuimba kibamia, jamii ...

Post Image

Kupitia ukurasa wa instagram wa msanii Nikki wa Pili ambaye ni moja kati ya wasanii wa Hiphop wanaounda Kundi la Weusi, amepost maoni yake kuhusu suala la maadili kwa wasanii, ambalo limeanza kufanyiwa kazi na Naibu Waziri wa wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza kwa kufungia baadhi ya kazi zilizokosa maadili.. Niki wa pili alizungumza kwa mtazamo […]

Read More..

Erick Omondi na Unanitekerenya Ukinyonga -T...

Post Image

Mchekeshaji wa Afrika Mashariki , Erick Omondi kutoka Kenya, leo January 16 katuletea  “COVER” ya nyimbo za Mkali wa bongoflava,THE BOY FROM TANDALE ambaye sio mwingine bali ni Diamond Platinum (Chief Dangote). Msanii huyu amekuwa akiziigiza nyimbo nyingi sana za wasanii akiwemo Diamond, Alikiba na wengineo wengi. Ukitakia kufaidi uondo zaidi wa Video yake hii aliyoitoa […]

Read More..

Joketi Awapa Neno Hili Vijana “Sio La...

Post Image

MODEL maarufu wa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka na kutoa nasaha kwa vijana huku akiwataka kujishughulisha kwa bidii ili kufikia malengo yao huku akibainisha kuwa sio lazima mtu awe amesoma sana (elimu ya ju) ndiyo anaweza kufanikiwa. Jokate ambaye alikuwa miongoni mwa mastaa waliohudhuria katika harusi ya Shilole na Uchebe iliyofanyika usiku wa kuamkia jana, […]

Read More..

Dudu Baya Aachana na Pombe Aamua Kumrudia M...

Post Image

MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ambaye haishiwi vituko, amekuja na hii mpya baada ya kula kiapo chake cha mwaka 2018 kwamba ameacha kunywa pombe. Mkali huyo wa tangu kitambo, amesema mwaka 2017 pombe zilimfanya akose muda wa ibada lakini mwaka huu ameamua kuachana na pombe ili apate muda wa kumtumikia Mungu

Read More..

Mohammed Dewji kwenye orodha ya Mabillionai...

Post Image

Orodha ya Mabillionaire Africa, 2018 Wako wanawake wawili katika matajiri 21 wanaongoza kwa utajiri Africa. Katika orodha ya matajiri 21, Mtanzania Dewji yuko  kwenye nafasi ya 17.  Dangote akishika nafasi ya kwanza. Dangote anaongoza kwa  $12.2 B. Aliko Dangote   Mtanzania pekee kwenye orodha hiyo ni  Mohammed Dewji na utajiri wake unakadiriwa kuwa dola $1.5 […]

Read More..

Diamond platnumz afikiria kununua nyumba mp...

Post Image

Bongofleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa mastaa ambao wameahidi mwaka 2018 tutarajie vitu vingi kutoka kwao, Diamond akiwa ameanza na kutuonyesha headquarters mpya za WCB . Ukitaja  nyumba anazomiliki Diamond Platnumz kiukwelihuwezi kuacha kutaja nyumba yake ya Afrika Kusini na Tanzania lakini inatajwa kuwa ana nyumba raidi ya moja na kwa sasa anafikiria kununua nyumba nyingine Kigali Rwanda. kupitia […]

Read More..

VIDEO MPYA; Yemi Alade – Go Down (Off...

Post Image

Msaani wa Nigeria katuletea nyimbo mpya ya kuburudisha. Yemi Eberechi Alade,anajulikana kwa majina Yemi Alade, ni mwanamziki wa nigeria Afropop .alishinda tunzo ya Peak Talent Show mwaka 2009, na anajulikana kwa nyimbo yake maarufu ya  “Johnny”. click play utazame video mpya:

Read More..

Sura yangu Haijakomaa, Bado Mrembo-Shamsa F...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo movie Shamsa Ford katoa mpya pale aliposema kuwa bado yu ngali kijana kwani akijiangalia uso wake bado na sura yake ina mvuto na kumuweka katika makundi ya wadada wadogo kabisa, anafurahia kwa muonekano huo ambao anahisi hakimbizani na uzee akijiangalia uso wake. “Mpaka rahaa jamani nilikuwa najiangalia katika kioo kumbe uso […]

Read More..

Fid Q Amweka Hadharani Mpenzi Wake

Post Image

RAPA Fareed Kubanda ‘Fid Q’ ameamua kujilipua kwa kumweka hadharani mpenzi wake mapema katikati ya wiki hii kupitia ukurasa wake wa Instagram. Katika kile kinachoonekana kufuata nyayo za washkaji zake, FA na AY walioamua kuwaweka hadharani wapenzi wao, Fid Q ameonekana kujiachia na mpenzi wake huyo kwa kupiga selfie kwa kujiachia. Moja ya picha zilizotikisa […]

Read More..

Monalisa Awapa Neno Wanaomtolea Maneno Mach...

Post Image

MUIGIZAJI asiyechuja kutoka Bongo movie Yvonne Cherryl ‘Monalisa’ anasema kuwa anakutana na changamoto ya kutusiwa na hata watu ambao hawamjui wala yeye pia hana mahusiano nao awali ilikuwa ikimsumbua lakini kwa sasa anaamini kuwa watu wa namna hiyo si wa kuwalaumu inawezekana wana msongo wa mawazo. “Kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kuwakwaza wenzao kuna […]

Read More..