-->

Kajala Amtolea Chozi ‘CK wa Wema’!

Post Image

Siku chache baada ya gazeti dada na hili, Risasi Jumamosi kuandika juu ya aliyekuwa kigogo wa msanii Wema Sepetu, Clement Kiondo ‘CK’ kunaswa akiuza mishikaki, tukio hilo limemliza shosti wa Wema, Kajala Masanja. Kumwaga chozi kwa Kajala kumetokana na maelezo yake kwamba, baada ya kuiona habari hiyo hakuweza kuamini kama kweli ni CK yule aliyewahi […]

Read More..

Ndauka Afungukia Mapenzi, Kampuni Yake!

Post Image

Leo kwenye safu yetu hii tunaye mwanadada Rose Ndauka ambaye amepotea kidogo kwenye sanaa ya uigizaji kutokana na kubanwa na kazi zake binafsi. Rose ameongea mengi alipokuwa akijibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi Wetu Hamida Hassan ndani ya ofisi yake iliyopo Mwenge jijini Dar. Unataka kujua alichofunguka? Fuatilia hapa chini. Ijumaa: Mambo Rose, mbona kimya […]

Read More..

Droo ya Nusu Fainali za ‘UEFA Champions L...

Post Image

Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeshapagwa, kama inavyoonekana hapo chini Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, […]

Read More..

Hemed PHD: Sitaacha Kujipodoa kwa Hofu ya W...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’, amesema kwamba hataacha kutumia vipodozi kwa kuwa humuweka nadhifu na humwongezea mvuto wa mwili wake. Hemed anayetamba na wimbo wake wa ‘Imebaki stori’, alisema vipodozi anavyotumia zaidi ni poda, lipshine na pafyum na hataacha kujiremba. “Sitaacha kujiremba kwa sababu kujiremba siyo kwa wasichana […]

Read More..

Bongo Movie Premiere: Shamsa Ford na Odama ...

Post Image

Ilikuwa ni siku ya jumatanowiki hii  ndani ya Escape One, pale Steps Entertaiment ilipokusanya wasanii wa Tanzania na Burundi katika uzinduzi wa filamu ya Najuta Shamsa na Mkwe ambayo imetengeneza na Odama. Wasanii waliokuwepo ni Dude, Jb, Rashid Mrutu, Faridi Uwezo, Omary Clayton, Rose Ndauka, Wastara, Shamsa Ford, Odama, Mussa Banzi na wengine kibaoooooo.

Read More..

Mr Blue Afunga Ndoa

Post Image

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda. Mr Blue amefunga ndoa na Waheeda ambaye amezaa nae watoto wawili wa kwanza akiwa wa kiume na wa pili akiwa wa kike, Mr Blue amefunga […]

Read More..

Shamsa Ford: Simtaki Nay wa Mitego!

Post Image

Staa wa filamu Tanzania Shamsa Ford amesafisha hewa baada ya kuwepo kwa uvumi wa yeye na Nay wa Mitego kutamaniana kurudisha penzi lao.   Shamsa alifunguka yote hayo baada ya vyombo kadhaa vya habari na mitandao tofauti tofuti ya kijamii kuripoti kuwa Nay katika moja ya mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni alisema kuwa anatamani kurudiana na […]

Read More..

Msalaba wa Ajabu Wamshangaza Mama Kanumba

Post Image

Jambo limezua jambo! Baada ya hivi karibuni barua yenye ujumbe mzito kukutwa kaburini kwa aliyekuwa staa wa sinema za Bongo, marehemu Steven Kanumba, limezuka  jipya ambapo kitu kilichopo kaburini kinachodaiwa ni msalaba (kilichozungushiwa duara pichani) kimemshangaza mama wa Kanumba, Flora Mtegoa. Kitu hicho cha chuma chenye umbo la pembe tatu katikati kikiwa na alama ya […]

Read More..

Snura Mushi: Natamani Kufumaniwa

Post Image

KATIKA hali ya kushangaza mkali wa wimbo wa ‘Chura’ wenye mahadhi ya Singeli, Snura Mushi ‘Snura Majanga’, amedai kwamba anatamani afumaniwe. “Sijawahi kufumaniwa ila natamani nifumaniwe ili nijue uchungu na changamoto zake maana ili uweze kusimulia kitu vizuri sharti kikutokee,” alieleza Snura. Pia Snura alifafanua kwamba licha ya kutokuwahi kuolewa ana watoto wawili huku akiongeza […]

Read More..

Nilimpeleka Mama Ulaya Kumtoa Ushamba ̵...

Post Image

Msanii wa Bongo flava Diamond Platnumz alitembelea nchi karibuni tisa za ulaya katika ziara yake ya kimuziki aliyoimaliza hivi karibuni. Amesema ameona kuwa mziki wa bongo flava umekuwa mkubwa sana duniani kwani alijaza kumbi ambazo hata baadhi ya wanamuziki wa Marekani wakifika wanafanyia kule kwa sababu sio kila msanii wa marekani anaweza kujaza Arena hizo. […]

Read More..

Kisa Mil.98 Wema Ammwaga Idris

Post Image

Habari ya mtoto mzuri Wema Sepetu ‘Madam’ kumwagana na mpenzi wake, Idris Sultan si ngeni masikioni mwa wapenda ubuyu, imetapakaa kwenye mitandao ya kijamii lakini Amani limenasa sababu kubwa inayodaiwa kusababisha penzi hilo kuvunjika, twende pamoja. Mwishoni mwa wiki iliyopita, wawili hao waliripotiwa kumwagana rasmi ambapo haikubainika mara moja sababu. TUJIUNGE NA CHANZO Iliposambaa habari […]

Read More..

Gari ya Aunty Ezekiel Yashikiliwa na TRA

Post Image

Gari ya mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel imeshikiliwa na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), baada ya kutumia gari kabla ya kulipia ushuru. Gari yake ya aina ya AUDI aliyoiagiza afrika kusini ilikamatwa mwezi mmoja uliopita ikiwa na namba ambazo siyo Tanzania. Aunty Ezekiel ameeleza kuwa aliitumia gari hiyo wiki moja tu ndipo mamlaka ya […]

Read More..

TCRA Yawapa Kibano Akina Lulu!

Post Image

Kufuatia tabia ya akina dada wengi kuweka picha za nusu utupu katika akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii, wakiwemo mastaa kama Lulu, Masogange na wengineo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewapa kibano kikali, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Meneja Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, Innocent Mungi alisema ingawa […]

Read More..

‘Sikupendi Wala Sikuzimii Marekani...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka kuhusu suala la yeye kutonunua nyumba nchini Marekani kama wasanii wenzake wakubwa wa Afrika wanavyofanya. Diamonda amefunguka hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa haoni umuhimu wa yeye kununua nyumba Marekani, tofauti na alivyonunua Afrika Kusini, kwani kule ilimlazimu. “Nna nyumba South Africa kwa sababu nina familia […]

Read More..

Ray Atuhumiwa Uchawi, Afunguka

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameingia kwenye kashfa nzito baada ya kudaiwa kutumia ndumba kwenye sanaa ili kuwa juu ya wenzake, Risasi Mchanganyiko limetonywa. Chanzo kutoka Bongo Muvi kilieleza madai kwamba msanii huyo mwenye jina kubwa, amekuwa ‘akiwachezea’ wenzake ili wasifanye vizuri kwenye soko la sanaa na sasa hivi ndiye anayeongoza kwa […]

Read More..

Mtunis: Filamu za Bongo Zinalipa Sana

Post Image

STAA wa filamu nchini, Nice Mohammed ‘Mtunis’, alisema soko la filamu litakuwa kubwa kama filamu zinazozalishwa nchini zitakuwa na ubora unaotakiwa kwa jamii ambao ndio wanunuaji. Mtunis aliliambia MTANZANIA kwamba licha ya waigizaji na wadau wengi kudai kwamba filamu za Bongo hazilipi yeye anasema kwamba filamu hizo zinalipa ila zisizolipa ni zile zinazokosa uandaaji mzuri. […]

Read More..

Joka la Kijiji Filamu Kubwa Kutengenezwa Bo...

Post Image

Hatimaye filamu ya kwanza ya aina yake inayohusisha joka kubwa linalosumbua wanakijiji na kumeza watu imekamilika kutengenezwa. Filamu hiyo iliyopewa jina la JOKA LA KIJIJI imetengenezwa na kampuni mpya ya Zakwetu Network. Mtunzi na muongozaji wa filamu hiyo, Mkongwe Sultan Tamba ambaye ndiye aliyesukuma gurudumu la tasnia ya mlipuko wa filamu kwa kutunga na kutayarisha […]

Read More..

Amini Amenibadilisha Kimuziki – Peter...

Post Image

Msanii Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa yeye saizi kuanza kufanya vizuri kwenye muziki ni kutokana na kufanya collabo na baadhi ya wasanii kama Amini na amekiri wazi kuwa Amini ndiye ameweza kumfanya atambue watanzania wanapenda nini. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Peter Msechu amesema kuwa mafanikio ya yeye kuanza […]

Read More..