-->

JB: Soko la filamu za Bongo Halijafa

Post Image

Muigizaji Jacob Stephen ‘JB’amefungyuka haya kuhusu soko la filamu na tasnia kwa ujumla. ’Nakataa soko la filamu halijafa,limesinzia na kuna sababu kubwa sana watu wengi hawajui kwanini imesinzia,filamu sasa hivi inatakiwa ipelekwe ‘next stage’ kitu chochote kikitakiwa kitoke hapo kilipo na kwenda sehemu nyingine kinakuwa kama kinakufa mf,kuna wakati Fulani Bongo Fleva walikuwa na hali […]

Read More..

Mwamuzi wa Kike Jonesia wa Tanzania Achakug...

Post Image

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake wenye umri chini ya miaka 17 (WWC-Q 17) mwishoni mwa mwezi huu. Jonesia Rukyaa atakua mwamuzi wa akiba katika mchezo huo kati […]

Read More..

Tuzo ya Lulu Yamliza Mama Kanumba

Post Image

Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Filamu Afrika Mashariki, iliyotwaliwa na Mbongo, chozi mama wa aliyekuwa nyota wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, tambaa na Risasi Mchanganyiko liujaze moyo wako. Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na mama Kanumba, muda mchache baada ya Lulu kutangazwa na waandaaji wa tuzo ambao ni African Magic Viewers […]

Read More..

Wasanii Watoa Neno Siku ya Wanawake Duniani

Post Image

IKIWA leo ndiyo maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani, wasanii wa kike wameeleza mambo mbalimbali kuhusiana na siku hiyo huku wakiwataka wanawake wenzao kuwa na msimamo katika kuendesha maisha yao. Anty Ezekiel Mwigizaji huyo wa filamu za Bongo amewataka wanawake wenzake waache utegemezi kwa wanaume wao. “Kuna biashara nyingi za kufanya, unaweza kuuza hata vitumbua […]

Read More..

Lupita: Malengo Yangu Hayajakamilika Bado

Post Image

MKALI wa filamu nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amedai kwamba japokuwa amepata mafanikio makubwa katika filamu, bado malengo yake hayajakamilika. Msanii huyo alifanikiwa kutwaa tuzo za Oscar mwaka 2015, lakini amesisitiza kwamba lengo lake ni kuwa msanii mkubwa duniani kama ilivyo kwa wasanii wengine. “Nimekuwa na mafanikio makubwa kutokana na filamu, lakini ninaamini bado malengo yangu […]

Read More..

Picha: Mapokezi ya Lulu Uwanja wa ndege wa ...

Post Image

Picha za mapokezi za Mshindi wa Tuzo ya AMVCA2016 kipengele cha Movie bora ya Afrika Mashariki elizabeth michael ‘Lulu’ wakati akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) akitokea Nigeria.

Read More..

JB Azungumzia Mkakati Wake wa Kuibua Watu W...

Post Image

Muigizaji na mkurugezi wa kampuni ya Jerusalem films, Jacob steven alizungumza mkakati huo wa kampuni yake  alipokuwa akizungumzia filamu yake ya chungu cha tatu kwenye kipeindi cha ulimwengu wa filamu. Msikilize hapa Part 1 Part 2

Read More..

Mzee Yusufu: Wake Zangu Marufuku Kutumia In...

Post Image

WAKATI wanawake duniani kote leo wakiadhimisha siku ya wanawake duniani, wake wa mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yusufu, Leila Rashid na Chiku wamekatazwa kutumia tena mtandao wa Instagram. Wanawake hao wamekatazwa kutumia mtandao huo na endapo watatumia kwa siri mume wao huyo amewaeleza kwamba ndiyo itakuwa talaka yao. Mzee Yusufu amechukua uamuzi […]

Read More..

Kuvunjika Ndoa ya Rayuu, Mashehe Waingilia ...

Post Image

Baada ya uvumi kuwa staa wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ ameachika kwenye ndoa yake ambayo imedumu kwa siku nne tu huku chanzo kikiwa ni familia ya mwanaume, hatimaye mashehe wameamua kuingilia kati kuinusuru ndoa hiyo. Februari 26, mwaka huu, Rayuu alifunga ndoa na mwanaume mwenye asili ya Kiarabu, Ahmedi Said lakini siku ya nne […]

Read More..

Lulu Kutua Kesho na Tuzo Yake

Post Image

Tunajua ni Watanzania wawili walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards, wa kwanza ni Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo Richie tayari alisharudi nyumbani Tanzania usiku wa March 6 2016 ila Lulu hakutokea Airport japo baadhi ya watu walimtarajia. Lulu alishindwa kutokea jana akiambatana na Richie na kuiambia […]

Read More..

Mwasiti: Wanawake Tuwekeze Kwenye Ardhi Siy...

Post Image

MSANII wa muziki wa Zouk, Mwasiti Almasi, amewaasa wanawake waachane na matumizi mabaya ya fedha kwa kununua nywele, vipodozi na nguo za gharama, badala yake watumie fedha hizo kuwekeza katika ardhi. Mwasiti anawaasa wanawake wenzake kuelekea maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani inayoadhimishwa kesho ambapo msanii huyo na wenzake watatu watatumbuiza katika tamasha maalumu litakalofanyika […]

Read More..

Van Vicker Anaamini Tanzania Itapasua Zaidi...

Post Image

MUIGIZAJI nyota wa Ghana, Joseph van Vicker, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuendelea kutamba baada ya wasanii wake wawili kushinda tuzo. Single Mtambalike ‘Rich Rich’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wameibuka washindi katika African Magic People’s Choice Awards zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Eko kwenye Kisiwa cha Victoria jijini hapa, juzi. Akizungumza na Championi […]

Read More..

Mapokezi ya Richie Uwanja wa Ndege wa Kimat...

Post Image

USHINDI huwa ni chachu kwa kila ashindaye hayo yamejitokeza leo usiku baada ya watayarishaji waliokuwa Naijeria kuingia mnamo saa saba kasoro wakiwa na mshindi mmoja aliyeshinda tuzo ya kipengele cha Filamu ya Lugha ya kigeni. Mwakifwamba na Amili Keki Richie danga Richie akiwalisha wanaye keki Amil, Honeymoo na Richie shampen Dude akila Keki Jb akilishwa […]

Read More..

Ali Kiba: Serikali Iweke Mkono Bongo Movie

Post Image

MWANAMUZIKI Ali Saleh Kiba amesema ingekuwa jambo zuri kama wasanii wa Bongo Movie watapewa nguvu zaidi na serikali. Kiba ameyasema hayo wakati akizungumzia ushindi wa Watanzania Single Mtambalike ‘Rich Rich’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wakati wa tuzo za African Magic People’s Choice Awards zilizofanyika katika Hoteli ya Eko kwenye Kisiwa cha Victoria jijini Lagos, Nigeria, […]

Read More..

Picha: Kitao cha Maandalizi ya pati ya was...

Post Image

Kikao cha kwanza cha maandalizi ya part yangu ya pongezi kwa mengiiiiii niliyopitia Mpka hapa nilipofikia Na kuna wale waliokosa mengiii yangu awakufanikiwa kuhudhuria basi Nimeamua kuandaa hii part kwa ajili ya wasaniii wenzangu ndugu zangu marafiki zangu na wengineo wengiiii waliyo tayari kuwa pamoja nami ikifika wakati moyo unahitaji furaha na nafasi ya kuipatia […]

Read More..

Wema, Kajala Acheni Utoto Bwana!

Post Image

KWENU warembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja. Habari zenu binafsi? Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Kitambo kidogo sijawaona lakini naamini pumzi ya bure mnaendelea kuivuta ndiyo maana nasikia matukio yenu kwenye vyombo vya habari. Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru […]

Read More..

Tanzia: Mzee Tofi Afariki Dunia Tanga

Post Image

MCHEKESHAJI Mahiri Salimu Athuman (Tofi) mwenye lafudhi ya Kichaga amefariki jana nyumbani kwake Duga Mwembeni mchana FC iliongea na Katibu wa TDFAA mkoa wa Tanga ndugu Raphael William Kiango na kudhitisha kifo hicho kwa mujibu wa familia yake. “Mzee wetu msanii mwezetu Tofi amefariki mchana akiwa nyumbani kwake na likuwa akisumbuliwa na ugonjwa Kansa ya […]

Read More..

Lulu na Richie wanyakua Tuzo Usiku wa Jana,...

Post Image

Usiku wa jana Tanzania imeingia kwenye headlines tena baada ya waigizaji wa Tanzania kuchukua Tuzo Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria ambapo mwimbaji toka Tanzania Alikiba  alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo. Wasanii wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael na Single Mtambalike wamefanikiwa kuondoka na tuzo moja kila mmoja ambapo Elizabeth Michael (Lulu) amechukua […]

Read More..