-->

Richie na Lulu Watua Lagos, Nigeria Kwenye ...

Post Image

Mastaa wa Bongo Movies, Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wameshatua jijini Lagos, Nigeria kwaajili ya kuhudulia utoaji wa tuzo za filamu za Africa Magic Viewers Choice Awards zitakazo fanyika siku ya leo jijini humo. Richie anawania tuzo  katika kipengele cha Best Movies-East Africa kupitia filamu yake ya KITENDAWILI wakati Lulu naye anawania tuzo […]

Read More..

Baba Levo: Wanaosema Shilole Kachuja ni Ki...

Post Image

Baba Levo ambaye hivi sasa ni mheshimiwa Diwani Kata ya Mwanga Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo amefunguka na kusema kuwa wanaosema Shilole amechuja ni kina nani hao? Baba Levo alijiuliza hilo na kuzua utata kwani baadhi ya watu walianza kuhisi kwamba watu hao ni wapenzi kutokana na ukaribu wao pindi Baba Levo anapokuwa Dar es […]

Read More..

Utumbuaji Majipu Sasa Watua Kariakoo kwa We...

Post Image

UNAPOSEMA Serikali ya awamu ya tano ilichoahidi lazima kifanyike ni kweli kabisa hivi karibu Mh. Nape Moses Nnauye alisema kuwa atahakikisha kuwa wale wanaojipatia fedha kwa njia za ujanja ujanja mwisho wao umefika lazima washughulikiwe kulinda maslahi ya Wasanii wa Tanzania. Jana ilikuwa ni siku mbaya kwa wale wauuzaji wa filamu za nje baada ya […]

Read More..

Picha: Diamond Akutana na Kanye West Mareka...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz  ameshare picha akiwa na mkali wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Kanye West. Diamond alisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya  show, ambapo kwenye maelezo ya hii picha, ilionekana wakati huo alikuwa Los Angeles.

Read More..

Ali Kiba Alikuwa Analia Studio -Chid Benz

Post Image

Msanii Chid Benz alimaarufu kama Chuma amefunguka na kusema wakati wana rekodi wimbo wa ‘Hasira za Nini’ ambao alimshirikisha Ali Kiba. Anadai ilifika mahali msanii King Kiba alidondosha chozi. Kupitia kipindi Cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo Chid benz alipewa “Heshima ya bongo fleva” alifunguka na kusema wakati wapo Mj Records kufanya kazi […]

Read More..

Jide Ndoa Tena

Post Image

Siku chache baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, mtangazaji Gardner G. Habash ‘Captain’, mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva anayekuja na ujio mpya alioubatiza jina la Naamka Tena, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide amedaiwa kupata mwanaume mwingine ambaye yupo kwenye mikakati kabambe ya kumuoa, Risasi Jumamosi lina ubuyu kamili. Jide ambaye amekuwa kimya […]

Read More..

Uvumilivu Umemshinda Vanessa Mdee Kisa Jux

Post Image

Msani wa bongo fleva Vanessa Mdee maarufu kama V Money ameshindwa kuvumilia baadhi ya Comments zinazotolewa na baadhi ya mashabiki wake kwenye account yake ya Instgram baada ya msanii huyo kumzungumzia mpenzi wake Jux. Inafahamika kuwa wiki hii Jux atakuwa na show kadhaa katika mikoa mbalimbali hivyo mwandani wake Vanessa Mdee alichukua muda kumpa support […]

Read More..

Sipendi kuisikia ‘DSM Stand Up’ – Chid Benz

Post Image

Msanii Chid Benz amesema huwa hapendi kuisikiliza nyimbo yake ya Dar es salaam Stand Up na kwamba hata anapo ‘perform’ jukwaani hujisikia vibaya. Chid Benz ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema ukubwa wa wimbo huo unamuumiza hisia zake, hivyo hujisikia vibaya kila anapousikiliza. “Hii nyimbo […]

Read More..

Flora Mbasha Akimbilia Kenya

Post Image

MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, amekimbilia nchini Kenya kurekodi albamu yake mpya anayotarajia kuipa jina tofauti na nyimbo zitakazokuwa katika albamu hiyo. Mwimbaji huyo ambaye kwa sasa amefungua darasa la kufundisha uimbaji wenye mafanikio, alisema albamu hiyo inayotarajiwa kuingia sokoni mwishoni mwa Machi, imerekodiwa nchini humo kwa lengo la kubadili ladha ya […]

Read More..

Ndoa za Mastaa Ndoa Ndoano!

Post Image

MAPENZI matamu bhana, asikuambie mtu. Katika ulimwengu wa mastaa, hasa masuala ya mapenzi hutawaliwa na mikasa mingi. Hata hivyo, kuna wakati katika kuhakikisha wanawekana sawa kwenye masuala hayo ya mapenzi, mastaa hukubali kuwa wapole kwa wenzi wao ili mambo yaende sawa. Makala haya yanakuletea orodha ya mastaa wa Kibongo ambao katika harakati za kusaka ndoa […]

Read More..

Afya ya Mr. Nice Kuteteleka… Simulizi Yak...

Post Image

SIKU chache baada ya kusambaa kwa picha yake inayomuonesha akiwa amepungua mwili na kuzua mjadala mitandaoni huku wengi wakimuonea huruma, mkongwe wa Muziki wa Takeu, Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ ameibuka na kufungukia afya yake. Picha inayomuonesha Nice akiwa amepungua mwili ilizagaa mapema wiki hii kwenye mitandao ya kijamii ambapo wengi waliochangia mjadala wa picha hiyo, […]

Read More..

Maya: Naitamani Sana Ndoa na Watoto Wawili...

Post Image

Kama kawa, kama dawa! Wiki hii tunaye mwanadada wa ‘long time’ kwenye tasnia ya filamu Bongo. Wengi wanamjua kwa jina la Maya lakini jina lake kamili ni Mayasa Mrisho. Paparazi wetu, Hamida Hassan alikutana naye kitaani na kumbana kwa maswali 10. Natumaini una hamu ya kujua kaulizwa maswali gani na yeye akayajibu vipi, kama jibu […]

Read More..

Sina Mpango wa Kumtafuta Said Fella -Juma N...

Post Image

Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Nature, amesema hawezi kumfuata bosi wake wa zamani Said Fella kumtaka afanye nae kazi tena kama zamani. Nature maarufu kama kiroboto ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha E News kinachorushwa na EATV na kusisitiza kuwa kama hajafuatwa yeye hawezi kwenda kumuomba afanye naye kazi. ”Mimi […]

Read More..

Baada ya Kudaiwa Kumdiss Diamond Platnumz, ...

Post Image

Ni masaa machachetu tangu kusambaa kwa ujumbe ulioandikwa kupitia Instagram account ya staa wa bongo fleva Belle 9 ikionyesha kumdiss staa mwenzake bongoflevani Diamond Platnumz, ujumbe wenyewe ulisomeka hivi>>> Lakini kupitia account yake hiyohiyo, Belle 9 akaandika ujumbe huu mwingine uliosomeka,>>> ‘#Samaqhani ndugu watanzania kwa usumbufu uliojitokeza ,samahani sana kwa mwanamuziki mwenzangu@Diamondplatnumz #emailmnayoiona hapo juu ndio ya hacker […]

Read More..

Nitagombea Urais wa Tanzania mwaka 2040-Sai...

Post Image

Diwani wa kata ya Kilungule wilayani Temeke jijini Dar es salaam Said Fella (CCM ) amesema atagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ifikapo mwaka 2040. Fella ambaye pia ni meneja wa Yamoto band na TMK wanaume fanmily ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na E News ya EATV. ”Kama Mungu akinipa uhai mwaka huo nitakuwa […]

Read More..

Kama Kweli ni Mkorogo…! Daktari: Ray Kupa...

Post Image

Lile sakata la nyota wa sinema Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ kudai kwamba, siku hizi amekuwa mweupe pee kwa sababu ya kunywa sana maji na kufanya mazoezi, limechukua sura mpya kufuatia daktari mmoja jijini Dar kusema mwongozo huo ni upotoshaji mkubwa, Amani linakupa zaidi. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi, daktari wa kituo cha kutoa huduma za afya kilichopo Kimara jijini Dar, Godfrey Chale alisema binadamu kunywa maji kwa wingi, hata […]

Read More..

Ray C, Hali Tete

Post Image

Hali ya mrembo aliyekuwa akifanya vyema kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva kabla ya kutopea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, Rehema Chalamila ‘Ray C’, si shwari kwani sasa amerudishwa kwao, Bunju jijini Dar hivyo kuzua wasiwasi wa jinsi atakavyoweza kutumia dawa, tembea na Amani. Chanzo cha uhakika kilichopo ndani ya idara ya […]

Read More..

Alichofanya Nay ni Kama Kichekesho Kwangu-S...

Post Image

Msanii Sheta alimaarufu kama Baba Kayla amefunguka na kusema alichokifanya Nay wa Mitego kwenye wimbo wa ‘Shika Adabu yako’ ni kama kichekesho kwake. Shetta amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio na kusema yeye na Nay ni washikaji tu na wanaongea wote na kudai kuwa alikuwa anatambua hilo toka hata wimbo […]

Read More..