-->

Idris: Uhusiano Wangu na Wema ni ‘Privat...

Post Image

Hutoona tena Idris Sultan na Wema Sepetu wakionesha upendo hadharani kama zamani kwakuwa wameamua kuuweka ‘private’ kwa sasa. Mshindi huyo wa BBA 2014, ameiambia Bongo5 kuwa angependa zaidi kwa sasa kujikita kwenye kazi zake kuliko kuufanya uhusiano wao uwe mjadala mkubwa. “Sipendi uhusiano wangu uwe kitu kikubwa kuliko kazi yangu kwa sasa,” alisema. Hata hivyo […]

Read More..

Movie ya Mama kijacho yambadili sura Tunda ...

Post Image

  Tunda Man amebadilisha muonekano wake kwaajili ya Movie ya Mama kijacho, huku akiachia ndevu kama Rick Rose na leo siku ya Jumatano ndiyo wamemaliza kushoot na walikuwa kambini kwa wiki 1 hivi kukamilisha movie hiyo ambayo kwenye muvi hiyo imemhusisha msanii mrembo wa Bongo Movie Riyama Ally pamoja na Comediani Mboto. Pia Tunda Man […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Wito kwa Wanawake Kupinga ...

Post Image

Shamsa Ford kutoka kiwanda cha filamu Bongo amezungumza kwa mara nyingine tena sababu ya kuachana na aliyekuwa mzazi mwenzie, aliyezaa naye mtoto mmoja wa kiume kuwa ni Vipigo vya mara kwa mara kutoka kwa mzazi mwenzie huyo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shemsa Ford ameandika hivi: Wanawake wenzangu tusimame kwa pamoja na tukemee hii tabia […]

Read More..

Ubonge Wamnyima Raha Wema Sepetu

Post Image

Kupitia ukurasa wake wa Instgram Wema aliandika ujumbe ambao umeleta utata kwa baadhi ya mashabiki ambao wanahisi huenda Wema Sepetu bado ana ujauzito kutokana na kitendo chake cha kutotaka kupost picha zake mpya na kutokana na mabadiliko yake ambayo wanahisi yanaletwa na ujauzito. Ingawa mashabiki wengine wamekuwa wakimshauri kuwa anapaswa kupunguza mwili wake kwa kufanya […]

Read More..

Mama Diamond Atoa Siri ya Zari

Post Image

Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Sandra au Mama D aliyasema hayo katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda juu ya uhusiano wake na Zari kufuatia tetesi […]

Read More..

Masanja: Sikukurupuka Kugombea Ubunge Ludew...

Post Image

Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji amesema akukurupuka kuwania ubunge wa jimbo la Ludewa, mkoani Njombe kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo Deogratius Filikunjombe kufariki kwa ajali.   Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Alhamisi hii, Masanja alizungumzia kitu ambacho kilimkwamisha kupata didhaa ya kugombea ubunge kupitia chama hicho. […]

Read More..

Kayumba Ataja Matumizi ya Milioni 50

Post Image

Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe. Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo […]

Read More..

Sijawahi na Sitokuwa na Mpenzi Mcongo -Wema...

Post Image

Muigizaji mwenye umaarufu mkubwa kwenye filamu za kibongo Wema Sepetu, amemkana raia wa Kongo ambaye watu wengi wanadai ana mahusiano naye ya kimapenzi. Katika ukurasa wake wa instagram Wema Sepetu ameandika juu ya taarifa hiyo na kusema kuwa hana mahusiano na raia huyo mkongo anayejulikana kwa jina la Apocalypse, sipokuwa anamfahamu kama rafiki tu kwake. […]

Read More..

Msaga Sumu: Sikunufaika na Wimbo Wangu wa K...

Post Image

MSANII wa nyimbo za Uswahilini ‘Kigodoro’, Seleman Jabir ‘Msaga Sumu’, ameweka wazi kwamba licha ya kupata jina kubwa katika kampeni za urais na wabunge mwaka 2015, lakini hakunufaika na wimbo aliowatungia wagombea hao. Msaga Sumu aliweka wazi hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Msanii huyo […]

Read More..

MAKALA: Lulu, Kupanda, Kushuka na Kuibuka T...

Post Image

Dar es Salaam. Alikuwa anatambulika kutokana na uigizaji wake tangu akiwa binti wa miaka mitano na umahiri wa kuvaa vyema uhalisia wa nafasi anazopewa kuigiza, jambo lililomtengenezea mashabiki wengi. Umaarufu hauna tofauti na mvua za masika ambazo zinaweza kuleta neema au maafa kwa mafuriko. Wanaomfahamu Lulu tangu akiigiza kama mtoto katika tamthilia za Kundi la […]

Read More..

Tupeni Uhuru Tufanye Yetu – Richie

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania ambaye juzi ameiwakilisha vizuri nchi na kutwaa tuzo nchini Nigeria Single Mtambalike au Richie, ameiomba serikali kuwapa uhuru katika kazi zao ili wapate uhalisia wa matukio. Akiongea kwenye kipindi cha WeekendBreakfast juma pili kinachorushwa na East Africa Radio, Richie amesema kitendo cha wasimamizi wa kazi za sanaa kufungia baadhi ya kazi […]

Read More..

Samatta Azidi Kutikisa Nyavu Ulaya

Post Image

Mshambuliaji wa Tanzania Mbwana Ally Samatta nyota yake imezidi kung’ara baada ya kuifungia klabu yake ya KRC Genk bao dhidi ya Club ya KV Oostende katika ligi kuu ya Belgium Pro League. Samatta alifunga goli hilo dakika ya 24 ambapo ni mara yake ya kwanza kuingizwa katika kikosi cha kwanza (first eleven) katika timu hiyo. […]

Read More..

Kayumba: Sikujua Kama Fella na Tale Watamsi...

Post Image

From zero to hero. Kwa sasa huo ndio msemo ambao Kayumba atakuwa anautaja kila siku.   Baada ya kuachia wimbo ‘Katoto’ na kuzidi kufanya vizuri kwenye media na video yake kuwa na ubora, mshindi wa BSS season 5, Kayumba Juma amesema hakujua kama Fella na Tale watakuwa wasimamizi wakuu wa mshindi wa BSS. Akiongea na […]

Read More..

Babu Seya, Papii, Mapokezi ya Kifalme

Post Image

DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari njema kwa mashabiki wao kusikia kwamba familia ya mwanamuziki aliyefungwa maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, ipo katika maandalizi makubwa ya kuwapokea kifalme wawili hao mara watakapotoka gerezani, Risasi Jumamosi lina habari kamili. Nguza Vicking ‘Babu Seya’ […]

Read More..

Mr. Nice Alitumwa na Mungu – Wabogojo

Post Image

Msanii Mtanzania ambaye anafanya shughuli zake nchini Macau Othman Ford (Wabogojo) amesema anamuheshimu sana Mr. Nice kwani alitumwa na Mungu kuja kumtoa yeye kisanaa. Wabogojo amesema Mr. Nice ndiye alimtoa kwenye na kumfanya kuanza kujulikana kwa watu, hivyo kwake ni sawa na bosi wake na kila akirudi hapa nchini lazima aende nyumbani kwake kujua anaendeleaje […]

Read More..

Nimekasirika Kupata Tuzo Hii – Richie

Post Image

Msanii wa filamu za Kitanzania Single Mtambalike maarufu kama Richie amesema amekasirishwa na kitendo cha yeye kushinda tuzo moja, badala ya zote mbili ambazo filamu yake ilikuwa nominated. Richie ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Weekend Breakfast siku ya jumapili,, na kusema kuwa baada ya filamu yake kuingia kwenye hizo category mbili aliamini yeye […]

Read More..

Lulu: Hakuna Ushirikina Kwenye Ushindi Wang...

Post Image

Lulu amesema kuwa haamini ushirikina wala hajawahi kufanya kazi yoyote katika ushirikina kuanzia utoto wake. Amefunguka hayo usiku wa kuamkia jana kupitia Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya kuulizwa kuhusiana na comment zinazo endelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa ushindi wa tuzo yake umetokana na ushirikina. Lulu alifunguka kuwa kuanzia utoto […]

Read More..

Masanja Aeleza Jinsi Alivyoupata Uchungaji

Post Image

Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amefunguka na kuzungumzia jinsi alivyoupata uchungaji wake. Masanja ambae kwa sasa anaendesha huduma ya ‘Street Gospel’, amekiamba kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa imani yake ndio imemfanya kuwa mchungaji. “Uchungaji upo wa aina mbili, kuna wa kuoteshwa na wakusomea. Kwa mfano ukiangalia mapadri wa Roman hakuna Padri […]

Read More..