-->

Mama Diamond Afanya Kweli

Post Image

Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni. DAR ES SALAAM: KUFURU! Mama wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ amedaiwa kufanya kufuru ya aina yake kwa kununua mtaa mzima, Tandale-Uzuri jijini Dar na kuikarabati nyumba yake aliyokuwa akiishi zamani kwa kutumia takriban shilingi milioni 100. […]

Read More..

Watu Wamejifunza Kutoka Kwangu – Matonya

Post Image

Matonya ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa yeye kama msanii kuna mambo mengi ambayo watu huiga kutoka kwake, kutokana na ushawishi mkubwa alionao kwa jamii. “Unajua tumebarikiwa na nguvu, tuna upendo mkubwa sana kwa watu kiukweli lazima tujue ndio maana kila ninachokifanya najitahidi kiwe kizuri kwa jamii, […]

Read More..

Filamu ya Mwezai Mchanga Wiki Ijayo Mtaani!

Post Image

ILE Filamu ya Mwezi Mchanga inayoshirikisha wasanii Nyota katika tasnia ya filamu inatoka wiki ijayo siku ya Alhamisi mwezi March na kusambazwa nchini nzima chini ya Kampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya Splash Entertainment amesema Steven Selenge. “Filamu ya Mwezi Mchanga inatarajia kutoka mwezi huu siku ya Alhamisi na itapatikana nchi nzima katika maduka […]

Read More..

Lulu Afungukia Madai ya Kutoka Kimapenzi n...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA 2016, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amefunguka na kuelezea mahusiano yake na CEO wa EFM, Dj Majay baada ya hivi karibuni kuonekana kuwa karibu zaidi. Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Lulu alisema kama ni kweli yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Majay basi mashabiki […]

Read More..

Faiza Aonya Mastaa Kuibiana Mabwana

Post Image

MREMBO ambaye jina lake lilivuma zaidi baada ya kutinga na ‘pampers’ kwenye sherehe yake ya kuzaliwa, Faiza Ally, amewaonya mastaa wenzake kuacha kutafuta umaarufu (kiki) kwa kuibiana mabwana. Akizungumza na mwandishi wetu, Faiza ambaye ni mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, alisema anatambua mastaa wengi ustaa wao hauji kwa kufanya […]

Read More..

Maneno Haya ya Lulu Yamewagusa Wengi

Post Image

Siku utakayojua kusudi La wewe kuwepo duniani pengine ndo siku utakayojua umepoteza muda kiasi gani kufatilia mambo ya wengine,kujilinganisha na wengine,au kufanya mambo yasiyo na faida ktk maisha yako,Hakuna aliyekuja duniani kwa bahati mbaya ipo sababu ya uwepo wako…fanya jitihada za kujua hyo sababu…ukishajua Tu utakuwa busy sana kuhakikisha unafikia malengo uliyokusudiwa automatically utajikuta unakuwa […]

Read More..

Nilimpenda Jackie Cliff Ila Sitarudiana Nae...

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa yupo kimahusiano na Vanessa Mdee, amefunguka na kuweka wazi sakata ambalo lilimkuta mpenzi wake wa zamani anayefahamika kama Jackie Cliff na mahusiano yake na model huyo. Kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV Jux alikiri wazi kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na Jackie Cliff na kusema alikuwa anampenda sana licha ya […]

Read More..

Baba Mzazi wa Lulu Yupo Tayari Kupokea Maha...

Post Image

Baba yake Lulu ameongea na E-newz na kutufahamisha bado hajapokea mahari ya mwanae na yupo tayari kupokea mahari, hivyo E-news imeamua kuutoa ujumbe huu wa baba Lulu. Huku wengi wakidhani kuwa ujumbe huo unaweza kumfikia mtu mzima Majey ambaye kwa sasa wapo kwenye mahusiano na Lulu.  

Read More..

Madam Ritha: Wasanii Tumieni Fursa ya Vingâ...

Post Image

MKURUGENZI wa Kampuni ya upigaji picha za video ya Benchi Mark Production, Ritha Paulsen, amewataka wasanii watumie fursa ya wingi wa ving’amuzi na vyombo vya habari kwa kuzalisha bidhaa bora na za nyumbani. Ritha alisema kutokana na wingi wa ving’amuzi kwa sasa, uhitaji wa vipindi vya nyumbani ni mkubwa, hivyo wasanii na maprodyuza wa video […]

Read More..

Mr. Blue na Ndoto za Kupiga Mzigo na Wiz Ki...

Post Image

MR Blue ni moja ya vichwa vikali kwenye Tasnia ya Muziki wa Hip Hop Bongo. Jamaa anajua sana, kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Baki Na Mimi, amekaa kwenye gemu kwa muda mrefu bila kuchuja, sasa ni zaidi ya miaka 13, ambapo anasema ndiyo kwanza anaanza maana kuna vitu vizuri vingi amepanga kufanya katika […]

Read More..

Serikali Hii ya Dk Magufuli Tutafanikiwa -D...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Dkt Cheni amesema ana imani kubwa sana na serikali ya Rais Dkt John Magufuli kwamba itawasaidia wasanii katika kuondoa tatizo sugu la kuibiwa kwa kazi zao na kuuzwa kwa bei ya chini. Cheni ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku jumatatu […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Sababu za Kutowataja...

Post Image

‘’Sikutaka kulizungumzia hili lakini nilijua watu watajaji,hata kwenye ‘comments’ watu wengi wanasema kwanini sijamuimba rafiki yangu Diamond na ana skendo nyingi’’ Alisema Nay Wa Mitego. ‘’Unajua sitaki kufanya kitu ambacho kila mtu tayari anacho kichwani mwake ili ni jawabu tosha kwa watu ambao wanajaji hilo kila mtu angekuwa anategemea ningemdisi Ali Kiba au Diamond sikutaka […]

Read More..

Ningemkuta mama Kanumba nisingemfukuza-Lulu

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Elizabeth Michael alimaarufu kama ‘Lulu’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafahamu sababu zilizofanya mama mzazi wa Kanumba asitokee kwenye mapokezi yake baada ya kushinda tuzo nchini Nigeria. Mtangazaji wa kipindi cha eNEWS alihoji ni sababu zipi zimepelekea Mama Kanumba kushindwa kutokea kwenye mapokezi yake ili hali Mama huyo alishiriki kwenye movie […]

Read More..

Gharama ya Mwili Wangu ni Ada ya Watoto Lon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amesema gharama ya mwili wake ni sawa na kusomesha watoto wawili London. Jb ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Mimi mwili wangu ni wa Kimarekani nimekwenda juu na mnene ndiyo maana hata watafiti wanakiri kwamba hakuna […]

Read More..

Harmonize: Nitafanya Kazi na Ali Kiba Bila ...

Post Image

LICHA ya tetesi kwamba wasanii wawili wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kutoonyesha nia ya kushirikiana katika muziki wao, msanii anayetamba na wimbo wa ‘Bado’, Rajabu Ibrahimu ‘Harmonize’, amesema yupo tayari kufanya kazi na Ali Kiba bila kikwazo chochote. Msanii huyo alisema Ali Kiba ni msanii wa Tanzania na ni […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Lulu: Tuzo Hii ni Mpango wa Mungu, Kutokana...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya Best Movie-East Africa, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alieleza hayo mara tu baada ya kutua Dar-es-salaam akitokea Lagos Nigeria na tuzo yake. ‘’Kila kitu ambacho kinatokea sasa hivi nakiweka ‘in a way’ zaidi ya mpango wa Mwenyezi Mungu nisingepitia ambavyo nimepitia katika maisha yangu nisingeenda Africa Magic ,ningekuwa labda nimeshakufa au nimeshaacha kuigiza […]

Read More..

Rekodi Yangu Haitavunjwa – Mr. Nice

Post Image

Mr. Nice ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio na kusema kuwa kwa sasa kazi anazofanya ni kwa ajili tu ya mashabiki wake, ili asiwapoteze lakini hahitaji hata promo. “Ninachojaribu kukifanya hapa ni kwamba naendelea kuwa mwanamuziki kwa sababu sasa hivi sitafuti promo ya aina yoyote, the only […]

Read More..