Mama Diamond Afanya Kweli
Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni. DAR ES SALAAM: KUFURU! Mama wa staa mwenye jina kubwa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ amedaiwa kufanya kufuru ya aina yake kwa kununua mtaa mzima, Tandale-Uzuri jijini Dar na kuikarabati nyumba yake aliyokuwa akiishi zamani kwa kutumia takriban shilingi milioni 100. […]
Read More..