-->

Lazima Wawepo Wabaya wako Ili Uwajue Wazuri...

Post Image

Lazima Giza Liwepo Usiku na mwanga uwepo Mchana Ili tuweze kutofautisha Usiku Na Mchana Lazima wawepo Wanaokuchukia Ili uweze kuwajua wanaokupenda? Lazima Wawepo Wabaya wako Ili uwajue Wazuri wako….maana bila hao Wabaya hutoweza kutofautisha yupi ni yupi. Sio kwa watu tu hii ina apply kwenye vitu vingi tu tofauti..! Ili uweze kujua Positive Side ya […]

Read More..

Sitti:Chozi Langu Limenifidia

Post Image

SITTI Mtemvu, mrembo aliyeshinda taji la Miss Tanzania Mwaka 2014 lakini akavuliwa baada ya kubainika udanganyifu, amesema chozi lake alilomwaga siku za nyuma, limem-faidisha kwani hivi sasa anaishi kwa amani na furaha. Akizu-ngumza hivi karibuni jijini Dar, Sitti alisema alipata maumivu makali siku alipovuliwa taji hilo, lakini alijipa moyo huku akifarijiwa na watu wake wa […]

Read More..

Picha: Ukaribu wa Wema na Idris Wazua Gumzo...

Post Image

Mbali na ukweli kuwa Wema Sepetu na Idris Sultan ni marafiki tangu zamani, hali imekuwa tofauti kwa hivi sasa ambapo baadhi ya mashabikibi wamekuwa wakiutilia shaka ukaribu wao wakidai kuwa umevuka mipaka na kuwahisi kuwa ni wapenzi. Mbali na madai kuwa Idris amekuwa akiweka kambi nyumbani kwa wema, Posti za Wema Sepetu kwenye mtandao wa […]

Read More..

Picha 10 za Harusi ya Wastara na Mh Sadifa ...

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma Alhamisi ya wiki hii, alifunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Read More..

Gigy, Msanii Tekno Ukweli Waanikwa

Post Image

Siri imefichuka! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameibua gumzo baada ya ukweli kuanikwa kwamba alilala kwenye Hoteli ya Serena iliyopo Posta jijini Dar akijiachia na msanii kutoka Nigeria, Tekno Miles. Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, usiku wa kuamkia Ijumaa, mrembo huyo alionekana akijiachia na jamaa huyo […]

Read More..

Mafufu Kufungua Chuo cha Sanaa Baada ya Mie...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Swahilihood Jimmy Mafufu anayegombea kuwa mwenyekiti wa TDFAA- Taifa amefunguka moja ya mambo muhimu ambayo yanachelewesha kuleta ukuaji wa tasnia ya filamu kwa ukosefu wa Vyuo na kwake ndio kipaumbele chake cha kwanza. Akiongea na FC Mafufu amesema kuwa kuna mambo mengi lakini kwake amegundua lazima elimu kwa kwanza kwa […]

Read More..

Tattoo Yangu ya Mgongoni Inasema- Amanda

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema tattoo yake aliyojichora mgongoni yenye maneno ‘Mapenzi yanauma’ ni kama inasema kwani mwanaume yeyote atakayekuwa naye kimapenzi, akiiona itampa kitu cha kujifunza. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Amanda alisema alijichora tattoo hiyo baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na wanaume, hivyo anaamini atakayefuata hivi sasa, atakuwa […]

Read More..

Dr Cheni Adai Serikali Inawaangusha Wasanii...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Dr Cheni amesema wasanii wengi wa filamu bado wapo kwenye kigugumizi kwenye kuwekeza pesa nyingi katika filamu zao kwa kuwa bado serikali haijatoa kauli yoyote kuhusu ulinzi wa kazi zao.   Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo bado inawafanya waendelee kusita kuwekeza pesa nyingi kwenye kazi zao. “Tuna ari […]

Read More..

Zari Awakosha Mashabaki wa Penzi Lake na Di...

Post Image

Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada ya kubandika picha zake mtandaoni akiwa kijijini kwao pamoja na watoto wake na kuonekana anafanya kazi zote za nyumbani kitendo ambacho kimewafanya mashabiki kumwagia sifa kuwa ni mwanamke anayeyaweza maisha yote tofauti na wengi walivyokuwa wakimfikiria hapo zamani. Katika […]

Read More..

Masanja Arusha Kijembe , Madai ya Kusakwa n...

Post Image

Kufuatia taarifa za ‘udaku’ kuenea kuwa maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wana msaka mchekeshaji, mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji kwa madai kuwa mbali ya kumiliki magari zaidi ya sita huku taarifa za kodi zake hazionekani, staa huyo hivi karibuni anadaiwa kununua gari la kifahari aina ya Toyota Land […]

Read More..

Filamu ya Gharika Baada ya Miaka 3 Sasa Kui...

Post Image

FILAMU ya Gharika ni filamu ambayo imetumia muda mwingi katika kuhakikisha inatoka katika ubora wa hali ya juu kwani ni hadithi iliyogusa maisha ya watu walikufa maji huko Zanzibar jambo ambalo lilizidisha uhalisia kwa sinema hiyo iliyotengenezwa na Mohamed Mwikongi. Ni kazi iliyochukua nafasi kubwa ya muda wangu kwani awali ilikuwa ni imeitwa Spice island […]

Read More..

Mwarobaini wa Wasanii Feki Waja

Post Image

KATIKA kile kinachoelezwa ni kuhakikisha heshima ya wasanii wa filamu inarejea nchini, Chama cha Wasanii wa Filamu Tanzania, kimelazimika kutunga sheria ya kuwataka wasanii, maprodyuza na wapiga picha wote kujisajili kwenye chama hicho na mtu hatoruhusiwa kufanya kazi bila kujisajili. Akizungumza jana na MTANZANIA, Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Maprodyuza Tanzania, William Mtitu, alisema kuwa […]

Read More..

Wastara Afunga Ndoa na Mbunge wa CCM usiku ...

Post Image

Mbali na sakata la kutaka kubomolewa kwa nyumba zake mbili zilizowekwa X kuwa bado halijapoa, Muigizaji Wastara Juma, jana usiku amefunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hongera sana Wastara. Eatv on facebook

Read More..

Majuto: Kuhiji Kunanipa Wakati Mgumu wa Kui...

Post Image

MSANII nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘King Majuto’, amesema anapata shida na aina ya uigizaji kwa sasa baada ya kwenda kuhiji na kuwa Alhaji. Akizungumza jana katika Ofisi za New Habari, King Majuto, alisema   unapokwenda kuhiji unatakiwa kufuata sheria za dini na mambo yenye hekima na kujiepusha na vitu ambavyo havitakiwi kwenye dini. “Vitu […]

Read More..

Shilole: Tatizo Nyota Ndiyo Maana Nagandwa

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’m ameibuka na kusema kuwa nyota yake iko juu ndiyo maana anagandwa sana wanaume. Shilole aliyasema hayo kufuatia kuwepo kwa madai kuwa, baada ya kuachana na Nuh Mziwanda kuna kibosile mmoja kutoka Nigeria ametua kwa ajili ya penzi lake lakini amekuwa akimkwepa kwa kuwa ana jamaa mwingine. Alipobanwa […]

Read More..

Lulu Amponza Tekno! Comments za R.I.P Zajaa...

Post Image

Tukio la kifo cha marehemu Steven Kanumba linaendelea kumwandama aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth “Lulu” Michael, kutokana na baadhi ya Watanzania kuendeleza tabia isiyokubalika, ya kumkejeli mwanaume yeyote anayesemekana kuwa na uhusiano naye kuwa kifo kinamuita. Kitendo hicho kimejitokeza pia kwa muimbaji wa Nigeria, Tekno aliyedaiwa kuwa na uhusiano naye. Hata hivyo Lulu alikanusha na kudai […]

Read More..

Samatta Aibuka Shujaa Tuzo za Afrika Huko A...

Post Image

Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika. Samatta mwenye umri wa miaka 23 amenyakua tuzo hiyo kwa Wachezaji wachezao ndani kwa kuzoa Pointi 127 akiwaangusha Mchezaji mwenzake wa TP Mazembe Kipa […]

Read More..

Mkali wa Komedi, Nisha Kuja na ‘Kibok...

Post Image

UNAPOSIKIA tu jina la Nisha ambaye ni Salma Jabu jina la Kliniki ni mwanamke hatari katika fani ya uchekeshaji Nisha anafanya serious Comedy na kujitengenezea jina na pale popote inapotazamwa kazi ya filamu kutoka Bongo sasa anakuja na Kiboko Kabisa filamu fungua mwaka. January mwaka mpya 2016 na kitu kipya cha Historia kinakuja na si […]

Read More..