Hemed PHD Afunguka Madhara ya Kutoka na Sta...
MUUZA sura kwenye filamu za Kibongo, Hemed Suleiman ‘Hemed PHD’ amefunguka kuwa japo ni staa na mtu maarufu Tanzania lakini hata siku moja hajawahi kufikiri kuwa atakuja kujihusisha kwenye uhusiano wa kimapenzi na staa wa kike kutoka Bongo kwa sababu anafahamu madhara yake. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, PHD aliongeza kuwa madhara ya kutoka na […]
Read More..





