-->

Monthly Archives: July 2016

Waandaaji wa filamu Zilikamatwa Wajisalimis...

Post Image

Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo alipokuwa akifanya mahojiano na mmoja wa waandaaji wa Filamu nchini aliyekutwa na kadhia hiyo Bw. Akim Igembe kutoka Kampuni ya Akim Master Film baada ya Filamu yake ijulikanayo kwa jina la “Mapenzi Uchizi” bango lake lilikutwa sokoni likiwa na alama ya Uhakiki […]

Read More..

Shamsa Ford Ammwagia Sifa Hizi JB

Post Image

MSANII wa Filamu za kibongo, Shamsa Ford, amefunguka kuwa hakuna mtu anayemvutia kwenye tasnia hiyo kama ilivyo kwa msanii mwenzake, Jacob Steven ‘JB’, kutokana na umahiri wake wa kuigiza. Akizungumza na gazeti hili jana, Shamsa alisema JB ni mtu mmoja ambaye anajua kugusa uhalisia pale anapoigiza na kukitendea haki kipengele hicho. “JB anaweza kuigiza kama […]

Read More..

Lulu Usitukane Wakunga, Uzazi Ungalipo!

Post Image

KWAKO mtoto mzuri ndani ya Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Hujambo? Habari ya huko ulipo? Wazima wote na familia yako? Shemeji yetu naye hajambo? Hongera maana naona siku hizi umeamua kumuanika hadharani. Ukitaka kujua afya ya mimi kaka yako, sijambo. Namshukuru Mungu, naendelea kupambana ndani ya mjengo wa magazeti Pendwa, Global Publishers Ltd. Hapa sisi […]

Read More..

Mzee Majuto: Filamu Yangu Ijayo ni Zaidi ya...

Post Image

Msanii wa filamu za kuchekesha Bongo, King Majuto amesema kuwa filamu yake mpya ijayo ni zaidi ya filamu zake zilizopita. Akiongea na Times FM, “Hii ina ujumbe wa kuelimisha jamii kuachana na mambo Ambayo hayana manufaa kwa maisha ya sasa na nimewashirikisha wasanii mbalimbali maarufu.” Aidha Majuto amefafanua kuwa sababu ya kuchelewa kuiachia filamu hiyo […]

Read More..

Joh Makini Afunguka Kuhusu Wapi Bongo Fleva...

Post Image

Msanii Joh Makini ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa ‘Perfect Combo’ amefunguka na kusema muziki wa bongo fleva sasa unaelekea sehemu nzuri na wale wote waliokuwa wanafanya ujanja ujanja kwenye muziki wataachwa kwani wakati umebadilika sasa na watu wanataka kusikia muziki mzuri na si ujanja ujanja. Joh Makini aliyasema hayo kwenye kipindi […]

Read More..

Filamu ya Aisha Yaongoza Tuzo za Ziff

Post Image

FILAMU ya Aisha imenyakua tuzo nne za Ziff ikiwemo mwigizaji bora wa kike, Godliver Gordian, mhariri bora wa video, Momose Cheyo, mwongozaji bora, Chande Omari na filamu bora ya makala iliyokwenda kwa prodyuza, Amil Shivji.  Tuzo hizo za Bongo Movie zimetolewa kwa vipengele viwili kikiwemo cha tuzo za Azam na tuzo za ComNet. Filamu nyingine […]

Read More..

Diamond Afunguka Haya Baada ya ‘Kidogo’...

Post Image

Diamond Platnumz anasherehekea mafanikio ya video ya wimbo wake mpya, Kidogo. Ndani ya siku nne, video ya wimbo huo aliowashirikisha P-Square imefikisha views zaidi ya milioni moja kwenye mtandao wa Youtube. Staa huyo hakusita kusherehekea hatua hiyo na mashabiki wake:  

Read More..

Siwema: Nay Hajanikatisha Tamaa ya Kuwa na ...

Post Image

Mrembo aliyezaa na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amefunguka kuwa, kuingia doa kwa penzi lake na jamaa huyo hakujamkatisha tamaa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye ni staa. Siwema ameliambia Wikienda kuwa hawezi kuapa kwamba hatakaa atumbukie tena kwenye penzi la msanii kwa kuwa hakuna anayejua huko […]

Read More..

Kazi Kazi’ Ndiyo Ujio Mpya Prof Jay Kweny...

Post Image

Mbunge wa jimbo la Mikumi kupitia tiketi ya Chadema na mwanamuziki wa Hip hop Prof Jay amefunguka na kusema kuwa amendika na kutengeneza video ya wimbo wake mpya alioupa jina la ‘Kazi kazi’  ili kuwatia moyo vijana na watu waliokata tamaa ya maisha na kuwataka kufanya kazi kwani ipo siku maisha yao yatabadilika. Prof Jay […]

Read More..

Video ya Fid Q yashinda Tuzo za ZIFF

Post Image

TUZO mpya ya video bora ya wimbo wa Bongo Fleva imekwenda kwa Farid Kubanda ‘Fid Q’ kupitia video ya wimbo wake wa ‘Walk it Off’. Katika shindano hilo, wasanii saba wa muziki wa kizazi kipya kutoka Dar es Salaam na watatu kutoka Uganda walioshindanishwa video zao, video hiyo ndiyo iliibuka mshindi. Kwa mujibu wa mkurugenzi […]

Read More..

Nisha: Majungu, Wivu Vilinitenga na Marafik...

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye kutokuwa na marafiki wa kike kuwa ni majungu na wivu tofauti na marafiki wa kiume. Nisha ameliambia Wikienda kuwa, watu wengi wamekuwa wakimuuliza sababu ya kuwa na marafiki wa kiume pekee na siyo wa kike ambapo amekuwa akiwajibu kuwa si kwamba hakuwahi […]

Read More..

Shaa Sipo Tena Ndani ya Mj record

Post Image

Saa ameithibitishia Enews kwamba kwa sasa yeye hayupo tena chini ya lebo ya Mj Record Malikia wa uswazi kama mwenyewe anavyopenda kujiita Shaa ameweka wazi zile tetesi zilizokuwa zimezagaa kwamba ameondoka Mj Record na kesema ni kweli hayupo chini ya lebo hiyo lakini haimaanishi kwa hafanyi kazi na studio za Mj . Hata hivyo Shaa […]

Read More..

Chura ya Snura Bado Kimbembe

Post Image

LICHA ya kufungiwa na mamlaka husika za serikali kutokana na video yake kukiuka maadili ya Mtanzania, wimbo wa ‘Chura’ ulioimbwa na Snura Mushi ‘Snura Majanga’ unaonekana kumpa changamoto kwa mashabiki wake kila wanapomtaka auimbe. Katika kila onyesho lake mjini hapa, mkali huyo anayetamba kwa sasa na wimbo mpya wa ‘Shindwe’ unaomaanisha kishindo, mashabiki wamekuwa wakimshinikiza […]

Read More..

Waziri Nape Azindua Filamu ya Sikitu!

Post Image

Waziri Nape Nnauye akiongea jambo kabla ya kuizindua filamu ya Sikitu, ndani ya ukumbi wa sinema uliopo ndani ya Jengo la Quality Center jijini Dar es Salaam. Muandaaji wa filamu hiyo, Kajala Masanja (wa pili kutoka kulia), akiingia ukumbini hapo tayari kwa kushuhudia zoezi la uzinduzi huo.   Nape katikati, akifuatilia filamu hiyo muda mfupi […]

Read More..

Ujumbe wa Babu Seya Kwa Mtoto wa Kajala

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja, Paula, ambapo Kajala amemwandikia ujumbe mzuri mwanae huyo huku akimkumbusha mwanae jukumu alilopewa na msanii mkongwe wa muziki, Babu Seya aliye gerezani kwa muda mrefu. Wawili hao walimtembelea Babu Seya hivi karibuni na kuzungumza naye mambo kadhaa. Kupitia instagram, Kajala ameandika: Dear […]

Read More..

Niliitwa Mimi Mwizi- Babu Tale

Post Image

Meneja wa Diamond Platnumz na Tip top Connection, Babu Tale amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi waliondoka kwake kwa maneno ambayo walikuwa wakiambiwa mtaani na wananchi kuwa ana wasimamia huku akiwaibia pesa zao. Babu Tale alisema haya kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai wasanii hao waliamua kuondoka chini ya uangalizi […]

Read More..

Wimbo wa ‘Pale Kati’ wa Nay wa ...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa leo na Baraza hilo na kusainiwa na Katibu wake Mtendaji Godfrey Mngereza, imeeleza kuwa msanii huyo amekuwa na tabia na mienendo yenye kuchafua Sekta ya Sanaa yeye binafsi […]

Read More..

Mama Afunguka Wema Kurudiana na Diamond!

Post Image

Licha ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuibuka na kukanusha sakata lao la kurudiana, bado madai ya wawili hao kutoka kwa siri yamekuwa yakishika kasi kiasi cha kumfanya mama mzazi wa Wema, Miriam Sepetu naye kulazimika kufungukia taarifa hizo. MADAI YA KURUDIANA […]

Read More..