Juma Nature Amtamani Yemi Alade
Msanii mkongwe wa bongo fleva ambaye bado anang’ang’ania kwenye game ya muziki, Juma Kassim au Juma Nature, ameendelea kukiri hisia zake kwa msanii wa kike Yemi Alade kutoka Nigeria, na kusema anampenda sana msanii huyo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Juma Nature amesema anampenda sana mlimbwende huyo ambaye anatikisa game la muziki […]
Read More..





