Nay wa Mitego Awachana Tena Wenzake
Rapa Nay wa Mitego ambaye kwa sasa anafanya vyema na ngoma yake ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa amegundua kwenye muziki wa bongo fleva saizi kuna wasanii wengi maboya akimaanisha washamba. Nay wa Mitego alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai mwanzo walikuwepo wasanii wawili maboya lakini saizi amegundua […]
Read More..





