Baba Levo ni Mazinguaji – Msechu
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa kwa mtazamo wake, msanii Baba Levo ambaye kwa sasa ni Diwani, ni kati ya wasanii wazinguaji ambao wanatapatapa. Peter Msechu alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa ngaz’ kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwa kuwa Baba Levo ni msanii mzinguaji ndiyo maana ameamua […]
Read More..