Wastara Apata Ubalozi wa Simu za KZG, Atali...
Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa Kampuni ya simu ya mkononi ya KZG ambapo leo amekabidhiwa na kusainishwa mkataba rasmi. Akizungumza katika tukio la kusaini makubaliano ya kuwa balozi wa kampuni hiyo lililofanyika katika ukumbi wa De Mag Hotel iliyopo Mwananyamala, Dar, Wastara alisema amefurahi sana kupata shavu hilo […]
Read More..