JB Kuzalisha Waigizaji Wapya
Msanii wa filamu nchini Jacob Steven (JB) amefunguka na kusema kuwa kuna wasanii wengi wachanga ni wazuri katika tasnia ya filamu nchini lakini hawapewi nafasi ya kuonesha uwezo wao wa kuigiza ndiyo maana tasnia hiyo imekuwa na wasanii walewale. Akiongea kwenye kipindi cha 5Selekt, Jacob Steven (JB) alisema kwa sasa kupitia kampuni yake ya Jerusalem […]
Read More..