Siwezi Kuyarudia Matapishi – Mr Blue
Msanii wa Bongo Fleva Mr. Blue ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Mboga Saba’ amefunguka na kusema kuwa saizi yeye ni mtu mzima anaangalia maisha yake na familia yake hivyo hawezi kurudia matapishi ambayo tayari alishakwisha yatapika. Mr Blue alisema haya kupitia kipindi cha eNewz ya EATV alipokuwa akifafanua juu ya taarifa […]
Read More..