Juma Nature aumizwa na tukio la KR Mullah
Msanii Juma Nature ameelezea kusikitishwa kwake na tukio lilitokea kwa msanii mwenzake KR Mullah ambaye alikuwa naye kwenye kundi moja la Wanaume Halisi, na kisha kwenda Radar Entertainment. Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha East Africa Television na East Africa Radio, Juma Nature amesema alipotumiwa picha za KR Mullah akiwa amelewa chakali huku hajitambui, alihuzunika […]
Read More..