Mastaa wa Bongo Waliouaga Ukapera Mwaka Huu
MAISHA ya mastaa ulimwenguni mwote yamejaa anasa na starehe kwa sana. Mawazo ya kuoa au kuolewa hayapewi nafasi kubwa vichwani mwa wengi. Hata hivyo kwa mastaa wa mbele, imekuwa kawaida kwao kuoana ndoa za mikataba, kisha kusitisha katika muda waliopanga. Lakini siku za karibuni, mambo yamekuwa tofauti ambapo mastaa wengi wameamua kuoana kwa ndoa za […]
Read More..