-->

Daily Archives: September 27, 2016

Erycah: Wema, Uwoya Kaeni Chonjo

Post Image

VIDEO Queen ‘hot’ Bongo ambaye ameonekana kwenye video za wasanii mbalimbali wa muziki, Ericka Daniel ‘Erycah’ amefunguka kuwa, mastaa kama vile Wema Sepetu, Irene Uwoya, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na wengineo wakae chonjo kwani amedhamiria kufunika ustaa wao. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Erycah ambaye hivi karibuni aliing’arisha Video ya Kwa Hela ya Mwanamuziki Linex alisema, […]

Read More..

Timbulo Awatolea Povu Wasanii Hawa wa Kike

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Timbulo amefunguka na kusema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wamezoea kupata kidogo katika maisha yao ya kila siku ndiyo maana inapotokea wamepata kikubwa wanawehuka na kuvurugika. Timbulo alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz ya EATV na kusema kuwa kuna baadhi ya wanawake wakipata fedha au mafanikio katika maisha yao […]

Read More..

Ali Kiba Achaguliwa Kuwania Tuzo za Mtv Ema

Post Image

Msanii wa Kimataifa kutokea Tanzania, Alikiba maarufu kama Kingkiba, Leo ametajwa kwenye nominations za tuzo kubwa dunia za Mtv Europe Music awards (MTVEMA) katika category ya BEST AFRICAN ACT, Alikiba ni msanii pekee kutokea East Africa huku akiungana na miamba mingine ya mziki kutoka Nigeria na south Africa kama ifuatavyo Best African Act Alikiba – […]

Read More..

Vanessa Atokwa Povu Kuambiwa Anajichubua

Post Image

Ubuyu unaotrendi Bongo unamgusa staa wa Bongo Fleva anayekamata anga za kimataifa, Vanessa Mdee ‘V-Money’ ambaye wikiendi iliyopita alitawala mitandao ya kijamii kwa picha yake iliyomuonesha akiwa amevaa kibukta na kuachia maungo yake wazi kisha mashabiki wakahoji kuwa rangi ya maungo haifanani na rangi ya uso wake ‘eti baadhi ya sehemu amekunywa maji mengi’. Mwana-ubuyu […]

Read More..

Aunt Ezekiel Awajibu Wanaodai Anajipendekez...

Post Image

Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Aunt Ezekiel amewamind mashabiki katika mitandao ya kijamii ambao wanadai anajipendekeza kwa mama watoto wa Diamond, Zari, baada ya hivi karibuni kuonekana akila nao bata pamoja. Mwingizaji huyo ambaye alikuwa rafiki wa Wema Sepetu, amesema lazima awe karibu na familia ya bosi wa mume wake kwa kuwa […]

Read More..