-->

Monthly Archives: February 2017

Kesi ya Wema Sepetu Upelelezi Haujakamilika...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu Jumatano hii alirudi Mahakamani baada ya kuachiwa kwa dhamana kwenye sakata la dawa za kulevya. Kesi hiyo imeahirishwa baada ya upande wa mashtaka kusema upelelezi haujakamilika hivyo kesi hiyo imepangwa kusikilizwa 15 March 2017. Muigizaji huyo ni mmoja kati ya wasanii ambao walitajwa kwenye list ya mkuu wa mkoa wa […]

Read More..

VIDEO: Ray C Akumbana na ‘Majanga’ Mengine

Post Image

Msanii wa bongo fleva Ray C amefukuzwa kwenye lebo ya wanene Enterteiment baada ya kauli ya yake aliyodai  kwamba hajasaini na lebo yeyote. Akionge kupitia eNewz ya EATV, Maneja wa Wanene Enteriment Gentris amesema kuwa Ray C alikuwa kwenye hatua za mwisho kuweza kusajiliwa katika lebo ya Wanene ila alikosea baada ya kupewa demo ya nyimbo yake […]

Read More..

TCRA Yazungumzia Jinsi ya Kuhama Mtandao wa...

Post Image

Dar es Salaam.Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano (TCRA) imezindua mpango wa elimu kwa umma kuhusu hudumu ya kuhama mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani (MNP). Akizindua mpango huo leo Jumatano asubuhi, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi James Kilaba amesema lengo ni kuwapa uhuru wateja kutumia mtandao bora zaidi, […]

Read More..

Fid Q Afungukia Kupiga Chini Gemu

Post Image

MWANAMUZIKI mwenye jina kubwa katika Muziki wa Hip Hop Bongo, Farid Kubanda ‘Fid Q’ hivi karibuni amefunguka kuwa yeye si wa kuacha muziki leo wala kesho maana muziki ni sehemu ya maisha yake na ataufanya mpaka pale Mungu mwenyewe atakapoamua kuwa aachane nao. Akichonga na Uwazi baada ya kuuliza juu ya kuachana na muziki siku […]

Read More..

VIDEO:Mzee wa Upako Achumbua Wimbo wa ̵...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ ameichambua ngoma wa msanii wa bongo fleva, Darassa inayokwenda kwa jina la Muziki, na kusema kuwa msanii huyo ameimba vitu vya maana sana kwenye ngoma hiyo. Mchungaji Lusekelo ambaye amewahi kunukuliwa akitumia maneno ya wimbo huo na nyingine kadhaa za bongo fleva katika mahubiri […]

Read More..

Ostazi Juma na Musoma Anajifunza Nini Kwa F...

Post Image

KUNA watu wamepata umaarufu katika namna ya kuchekesha kidogo. Unamkumbuka yule aliyejiita Mganga wa Diamond? Katika namna isiyotarajiwa, eti ghafla na yeye akawa maarufu tena maarufu sana. Kila eneo akasifika. Kuanzia kwenye blog, magazeti hata katika baadhi ya vipindi vya televisheni akawa anatajwa kila wakati. Ila sasa yuko wapi? Yale maneno na ahadi alizotoa juu […]

Read More..

Mr. T Touchez Amleta Rasmi Harmorapa (VIDEO...

Post Image

Zikiwa zimepita wiki mbili sasa tangu rapa anayechipukia Harmorapa kukutana na producer anayefanya vyema kwa sasa kwenye sekta ya muziki Mr. T Touchez na kufanya kazi pamoja inasemekana kazi ya rapa huyo iko tayari kwenda mtaani hivi sasa. Producer T Touchez amefunguka na kusema kazi hiyo imekamilika kila kitu na sasa ipo tayari kwenda kwa wananchi […]

Read More..

Serikali Kuandaa Sera Itakayosaidia Sheria ...

Post Image

Dar es salaam.Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema itaanza kukusanya ya wadau wa filamu ili kuandaa sera itakayosaidia kutengeneza sheria mpya itakayosimamia tasnia hiyo kulingana na mazingira ya sasa. Zoezi la ukusanyaji wa maoni litahusisha makundi mbalimbali wakiwemo watayarishaji, waigizaji na wasambazaji wa filamu. Akizungumza kwenye kikao cha kujadili changamoto na mwelekeo wa […]

Read More..

Simkubali Fid Q kwa Hili – Young Killer

Post Image

Rapa Young Killer Msodoki amefunguka na kusema hajawahi kumkubali rapa Fareed Kubanda  Fid Q kwenye kufanya mitindo huru kwa kuwa hajawahi kumuona mkali huyo wa hip hop Bongo akifanya mitindo huru. Young Killer alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema yeye anawakubali sana Nikki Mbishi, Godzilah pamoja na […]

Read More..

Video: Gigy Atoboa Kisa cha Kugombana na Mp...

Post Image

Mtangazaji wa kipindi cha Lavidavi cha ChoiceFm, Gigy Money amefunguka kwa kueleza kilichosababisha akagombana na mpenzi wake Mo J na jinsi walivyomaliza ugomvi wao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliumizwa na kitendo cha kupigwa na mpenzi wake huyo baada ya kugundua amechepuka. “Kuna mambo yalitokea, Mo J alichepuka mimi nikamshtukia, kwa baada ya […]

Read More..

VIDEO:Ray C Amtaja Mpenzi Wake wa Kwanza

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema katika maisha yake alianza mahusiano ya mapenzi akiwa na umri wa miaka 16 na kusema alikuja kuachana na mtu wake wa kwanza kutokana na mambo ya ujana. Mbali na hilo Ray C alizungumzia juu ya ujio wake mpya na kusema wiki ijayo atafanya video […]

Read More..

Mbowe Akamatwa na Polisi, Afikishwa Kituo c...

Post Image

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, leo Februari 20, 2017 amekamatwa na Jeshi la Polisi, Dar es Salaam wakati akienda kujisalimisha kwa ajili ya mahojiano kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar, Pal Makonda kumtaja kwenye sakata la madawa. Kamanda wa Polisi Kanda maalumu Dar es Salaam Simon Sirro amethibitisha kukamatwa kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe. Mwenyekiti wa Chadema […]

Read More..

Idris Sultan Asimulia Nafasi Aliyocheza Kwe...

Post Image

MCHEKESHAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mshiriki wa shindano na ‘Big Brother Africa’, Idris Sultan amefunguka amefunguka kwa kuwaonjesha mashabiki wake uhusika aliouvaa kwenye filamu ya ‘Kiumeni’. Kupitia mtandao wa Instagram, Idris amesimulia kwa kuandika, “Humu ndani nauza madawa kwahiyo nina mpunga wa kumwaga halafu nipo kitaa, demu wangu wa zamani anakuja na mwanaume kumtambulisha kwao na […]

Read More..

Neno la Shamsa Ford kwa Mumewe Chid Mapenzi

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ni mke wa Chid Mapenzi amefunguka ya moyoni na kusema hata kama dunia nzima itakuwa ikimzomea mumewe, yeye ataendelea kumpenda kwani kitendo hicho hakiwezi kubadilisha mapenzi yake kwake. Shamsa Ford amesema hayo kutokana na ukweli kwamba mumewe ni kati ya watu ambao wameitwa Kituo cha Polisi na Mkuu wa […]

Read More..

Flora Mbasha Achumbiwa, Kuolewa Tena

Post Image

Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne iliyopita, mmoja wao Flora Mbasha amechumbiwa na anatarajiwa kufunga ndoa ya pili hivi karibuni mkoani Mwanza. Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra […]

Read More..

Prof Jay, Mwana Fa, Nash Mc Tunahitaji Vite...

Post Image

MUZIKI wa Hip hop au Kemo kama unavyoitwa kitaalamu ni mama wa aina nyingi za muziki tunaousikia, umekuwa na mzuka wa aina yake kwa mashabiki hasa pale MC anapokuwa jukwaani akimwaga ladha ya mistari kwa mistari konde. Nadhani asili na chimbuko lake ndiyo limefanya uwe muziki wenye amsha amsha kubwa tofauti na aina zingine za […]

Read More..

Waziri Nape Jukwaani na Ray C, Leaders Kwen...

Post Image

WAZIRI wa Habari, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nauye kuonyesha kweli anausapoti muziki wa Bongo fleva ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha sanaa na kuwahamasisha vijana wajiajiri kupitia sanaa, Nape alipanda jukwaani kuimba pamoja na Ray c. Ni katika tamasha lilofanyika  Leaders Club ambako kulikuwa na shoo baab kubwa iliyokuwa ikiwakutanisha vinara wa RnB hapa Bongo, […]

Read More..

Aunt Ezekiel Amzuia Mpenzi Wake Kuingia Bon...

Post Image

Msanii wa bongo movie Aunt Ezekiel amesema hana mpango wa kumuinginza mpenzi wake Mose Iyobo kwenye tasnia ya bongo movie. Akionge kupitia eNewz Aunt amesema “Napenda anavyokuwa anacheza na sijawahi kuwaza kumtoa kwenye kipaji chake na kumuingiza kwenye movie  hata kama akitaka kuacha kipaji chake ni bora ajiingize kwenye biashara lakini siyo kujiingiza kwenye movie kwani siyo kipaji […]

Read More..