-->

Monthly Archives: February 2017

Mimi ni Mhanga wa Dawa za Kulevya Mwaka 199...

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ amejitaja kuwa ni mmoja kati ya watu mashuhuri ambao wamewahi kutuhumiwa kuhusika na biashara ya dawa za kulevya. Gwajima amefunguka na kusema kuwa yeye ni mhanga wa suala hilo jambo ambalo lilimpa wakati mgumu sana katika maisha na kumfanya kunyanyapaliwa na […]

Read More..

Serikali Yatetea Ada za Uhakiki wa Filamu

Post Image

Serikali imetetea ada za uhakiki wa filamu zinazotozwa hapa nchini na kusema kuwa ada hizo zipo kwa mujibu wa sheria na kanuni, huku ikifafanua kuhusu utaratibu wa kulipwa kwa ada hizo. Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Anastazia Wambura ameyasema hayo leo Bungeni, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Mafinga Mjini […]

Read More..

Alikiba na Diamond Mjipange – Abdukiba

Post Image

Msanii Abdukiba ambaye ni mdogo wa Alikiba amefunguka na kutoa ushauri kwa wasanii Alikiba na Diamond Platnumz kuwa wanapaswa kujipanga kimuziki na katika kazi zao kwani kuna vijana wengi wanajipanga kuchukua nafasi zao. Abdukiba alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV, Abdukiba anasema wapo wasanii wengi […]

Read More..

Rais Dkt Magufuli Afanya Ziara ya Kushtukiz...

Post Image

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza ujenzi uwanja wa ndege na kukuta kazi zimelala  

Read More..

VIDEO: Manji Asema Atakwenda Polisi Kesho

Post Image

Mfanyabiashara Yusufu Manji amesema kuwa atakwenda Kituo cha Polisi kesho kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alivyotaka. Manji amesema kuwa pamoja na kuwa Makonda ametaka wafike Ijumaa yeye atakwenda kesho huku akihoji kuwa inawezekanaje wakaitwa watu 65 kuhojiwa kama hakuna shughuli za kufanya kwa siku nzima. Amesema atakwenda polisi lakini pia […]

Read More..

Huyu Ndiye Mchumba wa Ommy Dimpoz?

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye anafanya vyema na wimbo wake ‘Kajiandae’ wiki kadhaa zilizopita alifunguka na kusema ikifika wakati ataweka wazi suala la mahusiano yake kwa jamii, na kumuweka wazi mchumba wake ili watu wajue. Ommy Dimpoz alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz cha EATV wiki kadhaa zilizopita, Ommy alifunguka na kuthibitisha kuwa kwa sasa yupo kwenye mahusiano na raia […]

Read More..

Irene Uwoya Afungukia Wanaume Wenye Sura Mb...

Post Image

Hujiamini kutupa karata yako kwa muigizaji mrembo Irene Uwoya sababu unahisi huna sura nzuri na ya kuvutia? Basi unaichezea bahati yako sababu unaweza kuwa na nafasi kubwa zaidi. Kwa mujibu wa Irene, wanaume wenye sura mbaya ndio ambao huamsha zaidi hisia zake za kimapenzi! Strange, lakini ndio ukweli wake. Muigizaji huyo ambaye ameandaa event maalum […]

Read More..

Audio:Mbowe, Gwajima, Manji Watuhumiwa Kuhu...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam leo ameingia awamu ya pili ya kupambana na dawa za kulevya na ametaja watu wanaotuhumiwa kuhusika na dawa za kulevya kwa namna moja ama nyingine. Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Mchungaji Josephat Gwajima ni miongoni wa watu waliotajwa katika tuhuma hizo na kuwataka kuripoti kituo kikuu cha […]

Read More..

Idris Sultan Afungukia Ishu ya Wema Sepetu ...

Post Image

MCHEKESHAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mshiriki wa shindano na ‘Big Brother Africa’, Idris Sultan amefunguka kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa sauti ya Wema ilirekodiwa bila ya Wema mwenyewe kujua. Idris amefunguka kwa wanaokwenda kumtembelea Wema wengi ni wanafiki na wanamalengo yao mengine tofauti na kwenda kumjulia hali Wema. Mpaka hivi sasa sakata hili bado […]

Read More..

Duma Afunguka Haya Kuhusu Picha zake Tata

Post Image

INAKUWAJE Pale ambapo unakuwa na hamu ya kutoka kimapenzi na mtu maarufu harafu hupati nafasi hiyo kufuatia staa unayemtamani yupo kwenye penzi zito na mtu mwingine? Bila shaka picha zake zinaweza kuwa tulizo lako tosha. Ukubwa wa majina ya mastaa unaongeza idadi ya mashabiki wanaotamani kutoka nao kimapenzi ila hawapati fursa hiyo kwa sababu tu […]

Read More..

Picha: Harmorapa Amtembelea P-Funk Majani

Post Image

Msanii mchanga Harmorapa Jumatatu hii alimtembelea producer mkongwe wa Bongo Record, P-Funk Majani nakuzungumza naye mambo kadhaa kuhusu muziki. Hivi karibuni mtayarishaji huyo mkongwe alionyesha kupendezwa na harakati za rapper huyo ambaye amekuwa akizungumziwa kila kukicha. Rapper huyo baada ya kutembelea studio hapo na kukutana na mkongwe huyo alionyesha kufurahishwa huku akiwataka watu kuacha kuongea. […]

Read More..

VIDEO:Wasanii Wanaotuhumiwa Kujihusisha na ...

Post Image

Takriban watuhumiwa 10 wa dawa za kulevya ambao ni miongoni mwa watu waliotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi hii. Miongoni mwa waliofikishwa mahakamani sasa ni wasanii Rommy Jones, TID, Babuu wa Kitaa, Nyandu Tozzy, Tunda (model wa kike), Lulu Diva, Recho, Joan, na […]

Read More..

VIDEO: Tusifanye Siasa Kwenye Vita ya Madaw...

Post Image

Mbunge wa Bunda Mjini Mh. Ester Bulaya amefunguka na kutaka siasa isiingizwe kwenye vita ya madawa ya kulevya na kusema viongozi wasimdanganye Rais Magufuli ili kujihakikishia vyeo vyao au nafasi zao katika uongozi. Ester Bulaya ametoa rai hiyo leo bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa taarifa za kamati na kusema Rais anapaswa kuambiwa ukweli ili waweze […]

Read More..

Hatma ya Chege na Temba Sasa Hadharani

Post Image

Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Chege Chigunda amesema yuko mbioni kukata kiu ya mashabiki wa ‘Chege na Temba’ kwani bada ya kutoa ngoma yake ya Kelele za Chura, ngoma inayofuata ni yake na swahiba wake Mh. Temba kutoka familia hiyohiyo ya Wanaume. Chege amelazimika kuweka wazi hatma ya Chge na Temba kutokana na kukumbana na […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Haya Akiwa Bado Ameshu...

Post Image

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia msani wa bongo movie, Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake. Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo […]

Read More..

Sakata la ‘Unga’: Makonda Ametoa Siku 1...

Post Image

LEO Jumatatu, Februari 6, 2016, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akiwa na Kamanda Sirro katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam amezungumza na wanahabari kuhusu oparesheni ya kusaka wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya kwa mkoa wake. Mambo  aliyoyasema Paul Makonda leo ni kutoa siku kumi kuanzia kesho February […]

Read More..

Rachel, Tunda Waungana na Akina Wema, TID P...

Post Image

Video Queen maarufu hapa Bongo, Tunda pamoja na msanii wa Bongo Fleva, Winfrida Josephat  ‘Rachel’ wameripoti leo katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya. Tunda na Rachel wanaungana na wasanii wengine waliohojiwa na kushikiliwa kituoni hapo Ijumaa iliyopita ambao ni […]

Read More..

Rais Magufuli Azungumzia Swala la Madawa y...

Post Image

Rais John Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata wanaohusika na Dawa za Kulevya. Asema si kazi ya Makonda peke yake. Rais Magufuli amesema hakuna wa kuachwa hata akiwa mkewe Mama Janet Magufuli, na kuongeza kuwa wakamatwe bila ya kujali majina yao. Rais pia amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu kwa […]

Read More..