Lulu Awajibu Wanaomnanga Mtandaoni
MTOTO mzuri Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewataka wanaomsema kuwa ni mfupi, wampime kwa akili zake maana yeye harefuki mwili lakini anarefuka akili. Akizungumzia ufupi huo ambao umekuwa ukijadiliwa mara kwa mara mitandaoni, Lulu alisema anaufunga mjadala huo kwa kuwataka wanaomjadili wafuatilie matendo yanayofanywa na uwezo wa akili yake. “Niwaulize tu wanamuoanaje Lulu wa miaka […]
Read More..





