-->

Monthly Archives: August 2017

Wema Sepetu Kuachia Filamu ya Mil. 40 Leo

Post Image

STAA ‘grade one’ kunako filamu Bongo, Wema Sepetu amewajibu watu wanaoendelea kumsema kuwa hajui kuigiza kwamba, wajaribu kutupia jicho la tatu kwenye filamu yake mpya ya Heaven Sent ambayo inatoka leo (Ijumaa) ikiwa imetengenezwa kwa gharama ya shilingi milioni 40.   Akizungumza na Ijumaa, Wema alisema kuwa ameamua kutumia kiasi kikubwa cha pesa ili filamu […]

Read More..

Matuta Yalifanya Nijifiche -JB

Post Image

MSANII nguli wa filamu za Bongo na shabiki wa klabu ya Simba, Jacob Steven ‘JB’, amesema wakati timu yake ilipoingia hatua ya matuta katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Taifa juzi, hakuweza kuangalia na badala yake alijificha. Akizungumza na MTANZANIA mara baada ya mchezo huo kumalizika, JB alisema pamoja […]

Read More..

Harmorapa Ampa Makavu P-Funk Majani

Post Image

Msanii wa hip hop bongo Harmorapa, amefunguka juu ya kitendo cha kumchana mtayarishaji wa muziki ambaye iliaminika anamkubali zaidi, na kukiri kuwa kwa sasa hayuko vizuri na P Funk. Akizingumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmorapa amesema kwa sasa hawana mawasiliano mazuri na P Funk, kwani kuna mambo ambayo yalitokea, yaliyosababisha kutoelewana kwao, […]

Read More..

VIDEO:TANROADS Yadai Kutopata Zuio la Mahak...

Post Image

Dar es Salaam. Wakati Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kikilaani Kitendo cha Wakala wa Barabara Mkoa wa Dar es Salaam (Tanroads) kubomoa nyumba ambazo zina kinga ya mahakama, taasisi hiyo ya Serikali imeendelea na kazi hiyo kwa kuwa haijapewa zuio. Lakini meneja wa Tanroads wa Dar es Salaam, Julius Ndyamkama amesema hatua hiyo […]

Read More..

Nawaonea Huruma Wanaume- Wolper

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka na kusema hawezi kutoka kimapenzi na wanaume ambao wameoa kwa madai anahofia wanaweza wakatelekeza familia zao kwa maana yeye akichukua kitu huwa hawi lelemama hata kidogo. Wolper amebainisha hayo wakati akipiga stori na mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo ya East AFrica Radio, Big Chawa na […]

Read More..

Itazame Hapa Video Mpya ya Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amevunja ukimya wake leo 25 Agosti 2017 kwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Seduce me’ ambayo imekuja moja kwa moja na video zake. Wimbo huu wa Alikiba umetengenezwa na mtayarishaji wa muziki kutoka Tanzania Man Water Itazame hapa video hii mpya  ya Alikiba

Read More..

Masogange: Situmii uchawi wanakuja wenyewe

Post Image

BINTI mwenye haiba ya aina yake, Masogange ametamka kwamba sasa ameamua kuachana rasmi na kuuza sura kwenye video kwavile baby wake hapendi. Lakini anadai kwamba kumbe utoto ndio ulikuwa unamdanganya. “Wakati nauza sura kipindi kile nilikuwa na akili ya kitoto, yaani nilikuwa nataka na mimi niwe Staa nijulikane. Nilikuwa nikiona wale dada zetu wanavyoonekana kwenye […]

Read More..

Jackline Wolper Kwenda Jela

Post Image

Msanii wa filamu za bongo ambaye kwa sasa ni mjasiriamali mkubwa, Jackline Wolper, amekula kiapo cha kwenda jela iwapo mtu yeyote atamtolea maneno machafu mzazi wake. Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Wolper amesema yeye kwa kawaida ni mpole lakini iwapo mtu atafanya kitu kibaya juu ya familia yake, hatofikiria […]

Read More..

Madee Amchana Roma Mkatoliki

Post Image

Rais wa Manzese, Madee amefunguka kwa kumchana rapa Roma Mkatoliki aache tabia yake ya kupenda kuichunguza simu ya mke wake na kuitumia kila mara kwani ipo siku yatakuja kumkuta makubwa asipoangalia. Madee amebainisha hayo baada ya msanii Roma kudai hamiliki simu ya kiganjani tokea alipopatwa na matatizo ya kutekwa na watu hivyo sasa anatumia simu ya mke wake […]

Read More..

Senga Atoboa Siri Anavyopiga Mkwanja

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe, Ulimboka Mwakisikye ‘Senga’ amesema kwa sasa sanaa imekuwa ngumu hivyo kitu pekee kinachomuingizia pesa ni kufanya vichekesho vya majukwaani huko mikoani pamoja na kualikwa kwenye shughuli mbalimbali za kijamii hivyo kulipwa chochote kidogo ili kuyasongesha maisha. Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni kupitia simu ya mkononi, Senga ambaye alidai yupo wilayani Kahama, […]

Read More..

Kuna Wasanii Wanabebwa na Media – Roma

Post Image

Msanii wa hip hop Bongo, Roma amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii wanapata upendeleo wa ngoma zao kupata airtime katika media. Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Zimbabwe’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa mara nyingi siyo kitu kizuri kwani pale msaada huo unapofika kikomo msanii hupotea kwenye muziki. “Yeah, off […]

Read More..

Soma Hapa Magazeti ya Leo August 24

Post Image

  Chanzo:millardayo.com

Read More..

Steve Nyerere ataka mvutano wa Diamond, Ali...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Steve Nyerere ametoa ushauri kwa kile kinachoendelea kati ya Diamond Platnumz, Alikiba na Ommy Dimpoz kwenye mitandao ya kijamii. Wasanii hawa wa Bongo Flava wamekuwa wakitupiana maneno yenye mafumbo katika mitandao ya kijamii tangu Diamond aliposhirikishwa katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’ ambayo ilitoka hiyo juzi na kudaiwa kuna […]

Read More..

Nilipigwa Sana Mawe – Mr. Blue

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr. Blue ametoa siri inayomfanya afanikiwe kufanya vizuri kwenye ‘game’ ya bongo fleva tangu aanze akiwa mdogo na kusema kuwa haikuwa rahisi kwake wakati anaanza kwani wengi walimtupia maneno yenye madongo ndani yake. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mr. Blue amesema kipindi anaanza kutengeneza ‘brand’ yake kama […]

Read More..

Dimpoz amwaga ugali ishu ya ‘Malkia wa Ng...

Post Image

Wiki hii rapa, Fid Q kaachia wimbo wake mpya ‘Fresh’ akiwa amemshirikisha Diamond pamoja na Rayvanny ambao umeibua mgongano mkubwa wa mawazo kupitia mitandao ya kijamii kutokana na mistari ya Diamond ambayo ilidaiwa kwenda kwa Alikiba. Mkali huyo wa Aje alishindwa kuvumilia baadhi ya vitu vilivyozungumzwa katika wimbo huo na kuamua kunyesha mvua ya tweets […]

Read More..

Wema Sepetu Asaka Mtu Wakutoka Naye

Post Image

Msanii wa filamu wa kike bongo Wema Sepetu ambaye wengi humtaja kuwa msanii mwenye nyota ya kupendwa na mashabiki, amefunguka kuwa anasaka mtu atakaye toka naye usiku wa uzinduzi wa filamu yake.   Kwenye ukurasa wake wa Instagram Wema Sepetu amendika ujumbe wa kumtafuta mtu huyo atakayekuwa naye usiku huo, kwani akisema raha ya tukio […]

Read More..

Uwoya: Huu Ndiyo Ukweli wa Mimi na Ndiku

Post Image

DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya aliyekuwa mume wa ndoa wa muigizaji nyota, Irene Uwoya aitwaye Hamad Ndikumana kutema povu kubwa katika mitandao ya kijamii, akimsema vibaya mzazi mwenzake huyo, mrembo huyo naye ameibuka na kuanika kile alichodai, ni ukweli kuhusu wawili hao, Risasi Mchanganyiko linaripoti. HUYU HAPA IRENE UWOYA Risasi Mchanganyiko lilifanya jitihada […]

Read More..

Magazeti ya Leo Jumatano, August 23

Post Image

CHANZO:millardayo.com

Read More..