-->

Picha za Waziri wa Sudan Zawa Gumzo Mtandao...

Post Image

Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Sudan Kusini Mh. Mabior Garang De Mabior ambaye ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na kiongozi wa zamani wa kikundi cha waasi cha SPLA/M cha Sudan Dr. John Garang amekuwa gumzo mitandaoni baada ya picha zake zenye utata kusambaa katika mitandao ya kijamii. Mabior Garang ambaye […]

Read More..

Kwa Mara ya Kwanza Bongo Movie Kuonyeshwa K...

Post Image

Filamu ya Nimekosea wapi? Itakuwa ni filamu ya kwanza kufungua njia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Suncrest Cineplex Cinema lilopo Quality Centre  jumatano hii. Ni muendelezo wa Bongo Movie Premiere, ambapo mastaa na mashabiki wa filamu wanapata fursa ya kuitazma filamu kabla ya kuingia sokoni. Akiongea na FC muandaaji wa filamu hiyo ya Nimekosea […]

Read More..

Mtitu Akumbuka Enzi na ‘Mama Mkubwa’ Nd...

Post Image

MUONGOZAJI wa filamu na mkurugenzi wa 5 Effect William Mtitu ‘Mtitu’  ameamua kurudi kwenye tamthilia na kuipa nguvu zaidi tofauti na filamu, Mtitu anasema misingi imara inapatikana kwa wasanii waliopitia katika tamthilia na kuingia katika filamu. “Nilikuwa nikifanya utafiti nakugundua kuwa tamthilia imetoa vipaji vingi sana, nami nimeona bora nijikite huko na tumefanikiwa kuja na […]

Read More..

Shamsa: Siwezi Kumhukumu Nay

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuwa kamwe hawezi kumhukumu Nay kwa maneno aliyoimba. Akigonga mbili-tatu na Showbiz, Shamsa aliyewahi kubamba na Filamu ya Chausiku alisema kuwa aliusikia wimbo huo uliowachana mastaa wengi wa Bongo Muvi […]

Read More..

“Sijatoka Endless Fame” – Mirror

Post Image

Msanii Mirror ambaye yuko chini ya Endless Fame amekanusha taarifa za kutoka kwenye kampuni hiyo ambayo inamsimamia kwenye kazi zake, baada ya tetesi kuwa hayupo tena. Mirror ameyasema hayo leo alipokuwa kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na EATV, na kusema kuwa bado yupo kwenye kampuni hiyo, ingawa hasimamiwi na Petit Man, ambaye alikuwa anamsimamia awali […]

Read More..

Irene Uwoya Atoa Wito Huu Kwa Wasanii Wenza...

Post Image

MKALI wa filamu nchini, Irene Uwoya, amewataka wasanii wenzake hasa wanawake kujituma katika kazi nyingine kama vile biashara ili kuweza kujikomboa kimaisha. Irene amesema wasanii wengi wanategemea sanaa ili kuweza kuendesha maisha yao, lakini wanatakiwa kufanya mambo mengi ili kuweza kujiingizia kipato. Akizungumza na MTANZANIA jana alisema yeye ana ofisi ambayo inajishughulisha na ushonaji wa […]

Read More..

Picha: Party ya Kiss By Wema Sepetu Usiku w...

Post Image

Mrembo na staa wa Filamu nchini Tanzania Wema Sepetu alikutana na watu wake Usiku wa jana May 7 2016 kwenye Kiss By Wema Sepetu Party. Hizi ni baadhi ya picha za tukio zima. Picha na Millard Ayo

Read More..

“Narudisha Status Yangu Sasa” &...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda amesema hajutii maisha yake aliyoyapitia akiwa na mpenzi wake wa zamani, kwani amesha move on (kusonga mbele). Nuhu Mziwanda ambaye hivi karibuni ameachia kazi yake ya ‘Jike Shupa’ aliyomshirikisha Ali Kiba, ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT cha EATV, na kusema kuwa kwa sasa yeye anachofikiria ni kazi zaidi. “Kujuta […]

Read More..

Brother K Aongelea Filamu ya Kirungu Kutoka...

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri kutoka kundi la Futuhi Andrew Ngonyani aka Brother K amefanya tour katika vyombo vya habari kanda ya Ziwa akiinadi filamu ya Kirungu ambayo inasambazwa na kampuni mpya kabisa ya Vision One Picture kutoka Dar es Salaam, huku akitamba kuwa filamu hiyo si ya kuikosa. Brother K akiongelea sinema ya Kirungu kupitia Redio Free […]

Read More..

Diamond ni Mshikaji ila Simtegemei -Shettah

Post Image

Msanii Shettah ambaye kwa sasa ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Namjua’ amefunguka na kusema kuwa yeye na msanii Diamond Platnumz ni washikaji sana na marafiki wa karibu sana ila inapokuja suala la kazi Shettah anasimama kama Shettah. Shettah alifunguka hayo kupitia show ya Friday Night Live inayorushwa na EATV kila siku ya […]

Read More..

Kingwendu Kujikita Zaidi Kwenye Muziki, Sas...

Post Image

Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake. Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake. Akizungumza […]

Read More..

Maisha Yaanza Kumnyokea Idris Sultan

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan amesema ameanza kuingiza faida kutokana na uwekezaji aliyoufanya baada ya kutoka kwenye shindano la hilo ambalo lilimpatia zaidi ya Sh500 milioni. Akizungumza na Bongo5, Idris alisema tayari ameanza kuona faida ya pesa ambazo aliwekeza kwenye biashara zake. “Kwa sasa hivi matunda nimeanza yaona, kuna kipindi fulani […]

Read More..

Baada Kuzawadiwa Gari Harmonize Amefunguka ...

Post Image

Msanii ambaye yupo chini ya Label ya WCB, Harmonize jana amezawadia gari aina ya Mark X na uongozi wake wa WCB kama motisha kwa kazi zake lakini pia kama njia ya kumrahisishia usafiri na kulinda jina lake na hadhi yake. Baada ya kupewa zawadi hiyo ya gari msanii huyo alikuwa na maneno ya shukrani kwa […]

Read More..

Ray Awaasa Vijana Juu ya Hili

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye furaha yake ni kuona vijana wenzake wakifanikiwa na kupiga hatua kimaendeleo. Ray Kigosi amewaasa vijana wenzake kuwa wasikae wakategemea kuwa viongozi wa siasa wanaweza kuja kuwabadilishia maisha yao bali amewataka kuwa na jitihada binafsi kwani huo ndiyo msingi mkubwa wa mustakabali wa maisha yao. […]

Read More..

Riyama Afunguka Kutomsamehe Mtu Huyu kwa Ku...

Post Image

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Riyama Ali amelalamikia madalali wa kazi za wasanii kwa kuwa chanzo cha dhuluma kwa wasanii wanaotengeneza filamu, huku wao wakijinufaisha na jasho lao akiongaea na FC Riyama amedai kuwa ametapeliwa kazi yake ya Kajala. hajui jinsi gani umepata fedha hadi kuunga unga na kutoa filamu bila ya huruma […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu Aja na Mradi Mpya ‘We...

Post Image

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, ameanzisha mradi mpya alioupa jina ‘Wema na Jamii’ ambapo ameanza kuzunguka kwenye shule mbalimbali jijini Dar es Salaam kuongea na wanafunzi na kuwapa vitu mbalimbali. Yeye mwenyewe anasema #WemaNaJamii #MkonoWaBaraka #MtotoWakoNiWangu. Tazama picha hizo chini. Bongo5

Read More..

Madee Afunguka Undani wa Wimbo wa ‘H...

Post Image

Msanii Madee amefunguka undani wa wimbo wa ‘Haya Yote Maisha’ wa Producer P Funk Majani ambao ameimba yeye, wimbo ambao ulishika chati na kugusa hisia za watu wengi. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema wimbo huo ni historia ya kweli ya P Funk na mwanamke ambaye ndiye mama wa mtoto wake […]

Read More..

Shetta: Mke Wangu Hana Uhusiano wa Kimapenz...

Post Image

Msanii wa bongo fleva, Shetta amefunguka leo kuhusiana na taarifa zilizozagaa kuwa mkewe, mama Qaila kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond. Akiongea na cloudsfm, Shetta ameeleza haya; ‘’Nilifuta picha zote kutokana na ‘management’ yangu katika hali ya kunitengeneza Shetta mpya unajua kila mwaka unatakiwa kuwa mpya kwa kila kitu, sasa hivi nina timu […]

Read More..