-->

Kajala Sasa Ajis’tukia Kuzeeka

Post Image

Staa wa Filamu Bongo, Kajala Masanja amesema kuwa mambo ya kimjini kama wafanyavyo mastaa wengine kwa sasa ameyapa mgongo kwa madai kuwa anaona anaelekea kuzeeka. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Kajala alisema kila anapojiangalia anaona kabisa alivyokuwa zamani sivyo alivyo sasa hivyo ana kila sababu ya kubadilika. “Kiukweli najiona kabisa naelekea kuzeeka, […]

Read More..

Wabogojo aanika maisha ya Jack jela

Post Image

Mkali wa mchezo wa sarakasi Bongo, Athumani Ford ‘Wabogojo’ anayefanya kazi za sanaa nchini China, amefunguka mambo kadhaa ya mwanamitindo Jacqueline Cliff ambaye amefungwa nchini humo kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya. Wabogojo ambaye amekuja Bongo kwa ajili ya mapumziko mafupi, alisema kuwa mrembo huyo anaendelea vizuri sana gerezani na ni mtu ambaye […]

Read More..

Barnaba Unanikimbia Huniwezi – Linex

Post Image

Msanii Linex amempa za uso msanii mwenzake ambaye naye ana sauti tamu ya kuimba Barnaba Clasic, na kusema kuwa anamuogopa kufanya naye kazi kwani kwa vyovyote vile atamfunika. Kwenye ukurasa wake wa instagrama Linex ameandika akimtaka Barnba asikimbie wanapotakiwa kufanya kazi ya pamoja, kwani kila akimwambia anamkimbia. “Mara ngapi wametokea wadau na wakawa tayari kuweka […]

Read More..

Ray Atakiwa Awe Balozi wa Maji

Post Image

BAADA ya mwigizaji mashuhuri katika filamu, Vicent Kigosi ‘Ray’ kudai weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao. Ray alisema licha ya makampuni hayo ambayo hakutaka kuyaweka wazi kujitokeza, bado hajawa tayari kwa sasa. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ray […]

Read More..

Picha: Niva Aibuka Kariakoo na Kutoa Zawadi...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Zubery Mohamed ‘Niva’ siku ya jana aliwahangaza wengi kwa kitendo cha kutembelea maduka ya filamu kariakoo na kusaidia kuuza a filamu yake ya Kisanga nae Mwana ambapo alitoa zawadi za T-Shirt za filamu yake hiyo na Radio za solar kutoka steps solar kwa mashabiki. Filamu ya Kasanga Naye Mwana ambayo imewajumuisha […]

Read More..

Hizi Ndizo Fursa Kumi Alizozitaja Ruge Mut...

Post Image

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba leo amezitaja  Fursa Kumi kupitia kipindi cha Power Breakfast na Clouds360 cha Clouds Tv. “Kwanza anatakiwa kusikiliza #FursaKumi, lakini pili lazima ajitambue yeye, bila Nyota Ndoto kujua yeye ni mwanamuziki mzuri au ana kipaji cha kuimba leo isingefikia hatua ya msanii Nyota Ndogo kutoka, nadhani kikubwa […]

Read More..

Diamond Afungukia Juu ya Video Yake Ya ‘M...

Post Image

Baada kudaiwa Video yake mpya ‘Make Me Sing’ kufanana na ya Lil Wayne,’Make Me Sing’ Diamond amefunguka haya. ‘’Watu wanashindwa kuelewa kila kitu ambacho kinafanyika katika muziki sasa hivi kwenye videos kwenye kuimba na kila kitu,mashairi vilishafanyika,vilishaimbwa,kushutiwa kama vinafanyika ni marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye kwa sababu ukisema nakupenda watu […]

Read More..

Ni Bora Nitoke na Msukuma Mkokoteni – Ray C

Post Image

Mwanamuziki ambaye alijipatia umaarufu kutokana na uchezaji wake na kupewa jina la kiuno bila mfupa Ray C amefungukana na kusema kwa sasa hataki kabisa kutoka kimapenzi na msanii yoyote au mtu maarufu. Ray C amesema hayo kupitia kipindi cha eNews na kusema toka ameachana na msanii Lord Eyes hajawahi kuingia tena kwenye mahusiano na kudai […]

Read More..

Lulu Adaiwa Kulipiwa Mahari

Post Image

Wakati akikanusha vikali taarifa mbaya za kuzushiwa kifo mwishoni mwa wiki iliyopita na watu ambao alisema hajui lengo lao, habari ya heri ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, (pichani) anaelezwa kuwa kwenye shamrashamra za ndoa baada ya kudaiwa kulipiwa mahari na mfanyabiashara maarufu jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa).   Kwa […]

Read More..

Nilianguka Bahati Mbaya Kama Binadamu-Ray C

Post Image

Msanii maarufu nchini wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila, amesema watu wasimhukumu kwa hali aliyo nayo sasa kwani alianguka kama binadamu wengine . Ray C ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Nilianguka bahati mbaya kama binadamu wengine ,nikajitambua sasa nipo vizuri naendelea na maisha […]

Read More..

Ray: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Ya...

Post Image

HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa mweupe. Kauli hiyo alianza kuitoa katika mahojiano aliyofanyiwa katika Kipindi cha E-News kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwamba huwa anakwenda saluni mara moja […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachukulia R/B Wanaomfuatili...

Post Image

MKALI wa Bongo Fleva, ambaye wimbo wake wa ‘Shika Adabu Yako’ umefungiwa na Baraza la Sanaa Nchini (Basata), Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, ameibuka na kudai kwamba ameamua kuchukua R/B kituo kidogo cha polisi ili kuwadhibiti watu anaodai wanamfuatilia kwa nia ya kumtendea mabaya. “Kiukweli sina ugomvi na mtu na hii ni dunia haina siri, […]

Read More..

Alikiba Aeleza Kwanini Hakuweza Kumuoa Mwan...

Post Image

Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.   Hitmaker huyo wa Lupela alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo. “Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mmoja toka nilipoanza. Lakini mambo yanaenda tofauti, huenda mnagombana anapata mtu […]

Read More..

Mkwanja wa Dili la Voda ni Fifty-Fifty Kati...

Post Image

Wiki kadhaa zilizopita, Diamond Platnumz alisaini mkataba wa mamilioni ya shilingi kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.   Dili hilo limemfanya muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ aonekane kwenye matangazo ya TV, yale ya barabarani, kwenye magezeti na vipeperushi vingine pamoja na kusikika kwenye matangazo ya redio. Kwenye tangazo la TV, si […]

Read More..

Maisha Yangu Sasa ni Magumu – Ray C

Post Image

Mwanadada ambaye alifanya vizuri kwenyesekta ya muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema kuwa maisha yake kwa sasa ni magumu. Ray C alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana EATV, Ray C amedai kuwa kuna muda mwingine analazimika kuvaa hijabu kujificha ili aweze kupanda daladala na […]

Read More..

Masogange na Wenzako Tumieni Ujana Wenu Viz...

Post Image

KWAKO Agness Gerald ‘Masogange’ pamoja na wenzako wengi ambao baadhi yao nitawataja kwa majina hapo chini. Nawasalimu katika jina la Bwana, vipi mko poa? Mnajionaje na hali? Mishe zenu zinakwenda kama kawaida? Mkitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu. Naendelea vizuri. Nazidi kupambana ndani ya huu mjengo mkubwa wa Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers Ltd. […]

Read More..

Hemedy na Rich Mavoko Wamenigombania- Gigy ...

Post Image

Video queen Gigy Money ambaye hivi karibuni alikuwa kwenye vichwa vya habari za burudani baada ya msanii Tekno Miles kutoka Nigeria, kukana kuwa na mahusiano naye, amefunguka jipya na kuweka wazi watu ambao aliwahi kuwa na mahusiano nao. Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Television, Gigy alisema kuna baadhi ya wasanii […]

Read More..

Ray Producer wa Tajiri Mfupi Ndio Habari ya...

Post Image

MWIGIZAJI Muongozaji na mtayarishaji wa filamu  Vincent Kigosi Ray ameteka kila kona ni yeye kuliko hata game ya Yanga na samba wala watu hawana habari na matokeo ya kidato cha nne kila mtu ni Ray Ray, hiyo inaonyesha msanii huyo ni Nyota kweli katika tasnia ya filamu Bongo.   Huku akijiandaa kuachia filamu yake ya […]

Read More..