-->

Wema Sepetu Akanusha Uvumi wa Mimba Yake Ku...

Post Image

Mashabiki wa Wema Sepetu waliingiwa na hofu kali baada ya mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown kuandika post yenye utata.   “Pole Dada @wemasepetu mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigumu, akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama inshaallah, kazi Yake Mola haina makosa #INASEMEKANAETI,” aliandika Soudy kwenye Instagram. Wengi walitafsiri post […]

Read More..

Kiapo Chamtesa Esha Buhet

Post Image

Kiapo cha kutochora tena michoro (tattoo) katika mwili wake, alichokitoa msanii wa filamu Bongo, Esha Buhet, kinamtesa baada ya kukikiuka kwa kujichora mkubwa zaidi ya hapo awali. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Esha alisema alikula kiapo cha kutojichora mwili wake, lakini amelazimika kukivunja baada ya kuamua kumuenzi mama yake mzazi. “Nimefanya hivyo kwa ajili ya mama yangu, nimeona sina sehemu ya kumuweka zaidi ya mgongoni kwangu tena kwa maandishi,” alisema Esha.

Read More..

Masanja: Mimi Ni Mchungaji, Lakini Mbinguni...

Post Image

Emmanuel Mgaya, maarufu kama “Masanja Mkandamizaji” aliyejizoelea umaarufu katika fani yake ya uchekeshaji na kundi lake la “Ze Comedy” kwa sasa amegeukia kazi ya ushehereshaji na Uchungaji. Katika moja ya Kazi yake hivi karibuni Masanja akiwa MC katika tukio fulani alitoa mpya baada ya kuwashangaa waimbaji wa Kigali-Rwanda wa kwaya ya “AMBASSADOR OF CHRIST” ambao […]

Read More..

Baada ya Kuachana na Shilole… Nuh Mziwand...

Post Image

IMEVUJA! Zikiwa zimepita siku chache tangu wasanii waliokuwa wapenzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kuachana, imedaiwa kuwa mwanaume huyo amefulia na kujikuta akila kwa mama lishe huku akidaiwa kodi ya chumba anachoishi. Chanzo makini kimeiambia Showbiz Xtra kuwa wawili hao wakati wakiwa katika uhusiano wa kimapenzi, Shilole ndiye aliyemlipia kodi ya chumba […]

Read More..

ZIFF Yaanza Kupokea Maombi ya Wasanii

Post Image

TAMASHA la Kimataifa la Filamu za Nchi za Jahazi (ZIFF), limeanza kupokea maombi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoka nchi mbalimbali za Afrika na nje ya Afrika kwa ajili ya ushiriki katika tamasha hilo kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Profesa Mahando, maombi hayo yanatumwa kabla ya Machi 31, 2016 na yatumwe kupitia […]

Read More..

Picha: Wachezaji wa DR Congo Watuzwa Magari...

Post Image

Rais wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo Laurent Kabila ameamua kuwazawadia magari wachezaji wa timu ya taifa ya Kongo walioshinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN), Rais Kabila ameagawa magari kwa wachezaji 23 na viongozi 7 waliofanikiwa kutwaa Kombe la CHAN kwa mwaka 2016, michuano ambayo imefanyika Rwanda. DR […]

Read More..

Picha: Kivuko cha MV Magogoni Chapoteza Mwe...

Post Image

Kivuko cha MV Magogoni kupata hitirafu, kumepoteza mwelekeo na kuacha njia yake hali ilozua taharuki kwa abiria. Vilio na kelele zilisikika pale maji yalipoanza kupanda ndani ya kivuko. Hali hiyo ilisababisha abiria waanze kujitosa ndani ya maji kwa wale wanaojua kuogelea. Hakika watu wa Kigamboni wanatembea roho mkononi. Poleni kwa wote Mliofikwa na mkasa huu […]

Read More..

Wolper, Mkongo Watimkia Sauzi!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper na mpenzi wake Mkongo, wamedaiwa kuuza magari yao na kutimkia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina, kimepenyeza ubuyu kuwa miezi kadhaa iliyopita, maisha ya Wolper na Mkongo huyo yalibadilika na kuwa magumu hivyo katika kusaka suluhisho la kujikwamua, wakaamua kuuza magari yao na kwenda […]

Read More..

Ishakua Soo Itamembeba Niva- Jimmy Mafufu

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa filamu ijayo hajaona msanii wa Bongo wa kumshirikisha kwani wasanii wengi ameshawashirikisha katika filamu zake nyingi na sasa anaangalia uwezo wa kuwatumia wasanii wakubwa kutoka . “Sioni tena msanii wa kumshirikisha filamu zangu za kiume maana katika filamu yangu […]

Read More..

Ukipata Mtu Kama Riyama Usichelewe Kumuoa &...

Post Image

Leo Mysterio ambaye ni mchumba wa malkia wa filamu nchini Riyama Ally amefunguka na kusema “unapopata mtu anayestahili kuwa mke usicheleweshe kufanya maamuzi ya kumuweka ndani”. Leo Mysterio amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kwa sasa tayari yeye amefanya maamuzi ya kuishi na Riyama na muda wowote kuanzia […]

Read More..

Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya amemtaka Shetta kuacha kutumia jina la ‘Mamba’ kwani hiyo ni ‘aka’ yake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka mingi. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Dudu Baya alisema anaomba Shetta aache mara moja kutumia jina hilo ili yasije yakatokea kama ya Mr Nice. “Shetta ni kama mdogo […]

Read More..

Karibu Dar ya Wastara Yaja kwa Kasi

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam.   “Sinema ya Karibu Dar inatarajia kuingia siku […]

Read More..

Familia ya Diamond Yalamba Mamilioni

Post Image

FAMILIA ya mkali wa Muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ imelamba mamilioni ya shilingi kufuatia mkataba walioingia hivi majuzi na kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom, Risasi Mchanganyiko lina ripoti kamili. Kwa mujibu wa chanzo kilicho ndani ya kampuni hiyo yenye mtandao mkubwa zaidi wa simu nchini, Diamond na familia yake […]

Read More..

Ommy Amjibu Ney Baada ya Kuambiwa ‘Jo...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amejibu mapigo kwa Ney wa Mitego baada ya kumuimba kwenye wimbo wake, huku akimtuhumu eti rafiki zake hawamjui shemeji yao au huenda jogoo hawiki. Ommy Dimpoz amefunguka juu ya hilo na kumrushia makombora ya kutosha Ney wa Mitego, kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa instagram na kuiita barua ya wazi kwa Neema […]

Read More..

Mazuri Yangu Chukueni na Mabaya Acheni-Shil...

Post Image

Msanii wa bongo movie na  bongo fleva Shilole amefunguka na kuwataka wadada kuiga iana ya maisha anayoishi kwa kuchukua mambo mazuri anayoyafanya na yale mabaya wayaache wasiyaige. Shilole amesema hayo kupitia Account yake ya Instgram ambapo alikuwa akiwataka vijana wasikate tamaa na wala wasikubali kukatishwa tamaa na binadamu bali wanapswa kumtegemea Mungu na kusimamia kile […]

Read More..

Riyama Ally ‘Mkegani’ Awachana Maproduc...

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Tanzania Riyama Ally anayetambulika kwa sasa kama malkia wa uswazi au Mkegani amewalalamikia watayarishaji wa filamu nchini kuwa wanachangia kwa kiasi kikubwa kuua vipaji vya wasanii hapa nchini. Wasanii wamekuwa wakijadiliwa na kukosolewa sana katika uigizaji wao na kutobadilika kuendana na husika wanazocheza katika filamu. Leo nimepata fursa ya kuongea na […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Kuhusu ‘Range’ Yak...

Post Image

Baada ya kuzagaa kwa taarifa katika mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya magazeti kuwa ile ‘Range Rover Evogue’ ya staa wa filamu, Wema Sepetu aliyojizawadi katika siku yake ya kuzaliwa imekamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa madai alikwepa kulipa kodi, Wema amesema gari yake ipo nyumbani kwake. Akizungumza na 255 katika kipindi […]

Read More..

ROMA Kuhalalisha Mahusiano Yake na Mama Iva...

Post Image

Msanii wa muziki Roma Mkatoliki ameamua kuhalalisha mahusiano yake na mama wa mtoto wake, akiwa sasa katika mchakato wa kuoa, mwishoni mwa wiki akikamilisha zoezi zima la send-off ya mpenzi wake huyo kuelekea harusi. Roma na Mama Ivan wamepata backup kubwa kutoka kwa msanii wa muziki Kala Jeremiah, ambaye alikuwa ndiye mpambe wa msanii huyo, […]

Read More..