Nyumba Mbili za Wastara Kupitiwa na Bomoa B...
Muigizaji wa filamu, Wastara Juma amejikuta katika wakati mgumu tena baada ya nyumba zake mbili kupitishiwa X kwaajili ya kubomolewa siku zijazo. Katika ukurasa wake wake wa Facebook, Wastara ameandika: Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu nyumba zangu mbili zimewekwa X na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana Akiongea […]
Read More..





