Danny Msimamo: Vinega na Anti Virus Imebadi...
Msanii wa Hip Hop wa hapa bongo Danny Msimamo, amesema game la muziki sasa hivi limebadilika tofauti na zamani, ambapo sasa muziki unaingiza pesa nyingi kwa wasanii. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Danny Msimamo amesema hatua hiyo imesababishwa na harakati za kutetea haki zao na kuendeshwa kwa kampeni mbali […]
Read More..





