Mkali wa ‘Digital Pastor’ Atobo...
Msanii na mtunzi wa filamu bongo anayetamba na filamu yake ya Digital Pastor Salehe Lufedha amedai kuwa chanzo cha soko la Filamu kushuka ni wasanii wa kike ambao wana majina makubwa. Akizungumza Katika kipindi cha MID_MORNING TRIP (Kona ya filamu) kinachorushwa na SAFARI RADIO Lufedha amesema kwmba kwa sasa tasnia ya filamu bongo inayumba kutokana […]
Read More..





