-->

Daily Archives: June 28, 2016

Mkali wa ‘Digital Pastor’ Atobo...

Post Image

Msanii na mtunzi wa filamu bongo anayetamba na filamu yake ya Digital Pastor Salehe Lufedha amedai kuwa chanzo cha soko la Filamu kushuka ni wasanii wa kike ambao wana majina makubwa. Akizungumza Katika kipindi cha MID_MORNING TRIP (Kona ya filamu) kinachorushwa na SAFARI RADIO Lufedha amesema kwmba kwa sasa tasnia ya filamu bongo inayumba kutokana […]

Read More..

Acha Wajichore , Aunt Ezekile, Kajala, Chuc...

Post Image

KATIKA dunia ya sasa ya mwendo kasi suala la watu kujichora tattoo sio jambo geni. Wapo wanaojichora kwa ajili ya kuwaenzi wenza wao kwa maana wapenzi, wao, watoto na hata familia zao. Huchora picha ama majina na hata herufi za wahusika mradi kuonyesha namna wanavyowazimia na kuwajali. Kwa mfano katika soka, nyota wa kimataifa wa […]

Read More..

TID: Mimi ni Mtoto wa Kishua

Post Image

Msanii TID ameamua kuwajulisha watu siri ya maisha yake, hususan wale wanaomchukulia poa kuwa amechoka, lakini si kweli. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio TID maesema tangu utotoni mwake amelelewa kwenye familia yenye uwezo kipesa, na kumpa urahisi wa kupata akiyoyahitaji kama mtoto. Akielezea historia ya wimbo wake wa zeze ambao ndio ulimpa […]

Read More..

Picha:Mechi ya TP Mazembe na Yanga,Mashabik...

Post Image

Mechi ya kombe la Shirikisho kati ya timu za Yanga na TP Mazembe imekuwa ya aina yake na kuingia kwenye historia baada ya mashabiki kuingia uwanjani asubuhi na uwanja huo kujaa saa tano asubuhi na mageti kufunga, mechi hiyo itapigwa saa kumi jioni.

Read More..

Madam Rita Afunguka Kuhusu Bongo Star Sear...

Post Image

MKURUGENZI wa Benchmark Production, Rita Paulsen, ametolea ufafanuzi kuhusiana na mchakato wa kusaka waimbaji chipukizi katika shindano lake maarufu la ‘Bongo Star Search’ linalofanyika kila mwaka. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Rita kutambulisha kipindi chake kipya cha televisheni cha ‘Rita Paulsen Show’ kinachorushwa kila Jumapili katika runinga ya Azam two. “Rita Paulsen Show […]

Read More..

Mr Blue: ‘Mboga Saba’ ni Habari Kubwa

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue amesema hajawahi kupata mapokezi mazuri katika muziki wake kama aliyoyapata katika video yake mpya ya wimbo ‘Mboga Saba’ Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Mr Blue amesema kuna vitu vingi vimechangia kazi hiyo kuwa kubwa kwa muda mfupi. “’Mboga Saba’ hii ni kazi ambayo imefanya vizuri zaidi kwa […]

Read More..