Darasa Atoboa Sababu za Yeye Kufanya Vizuri
Rapa Darasa ambaye kwa sasa anatesa na wimbo wake ‘Too much’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa anafanya vizuri kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia kwenye maisha yake ambazo zimempelekea kufanya kazi kwa kujituma ili asirudi nyuma tena. Darasa anasema moja ya vitu ambavyo vilimpa changamoto ya kupambana ni pamoja na yeye kukosa chakula, sehemu ya […]
Read More..





